Umasikini ule ulitutesa sana, Isijirudie tena...

Hata Mugabe alikimbilia China yy ameishia wapi.
Kwa ujumla Zimbabwe nimekaa miaka 1995 ilikuwa ni Nchi ya mfano nenda leo nchi ambayo ilikuwa inatuletea misaada ya vyakula kama mahindi yaani kwa wale waliokula Ugali wa unga wa njano hili wanalijua Zimbabwa walianza kuleta misaada na kutusaidia mbegu za mahindi kutoka Zimbabwa.
Kwa hiyo china unayoisemea hakuna kitu zaidi kulimbikiza madeni zaidi
China yupo tutatoka tu.
 
Tusilazimishane kufikiri kwa namna moja.


Wengine mpaka usiku wanaona, sio wapumbavu kama wewe.
Kama jua limechomoza lakini wewe kwa ujinga wako ukaamua kufumba macho haimaanishi kwamba Jua halitaonekana kwa wengine.
 
Du kumbe na China naye ni miyeyusho tu.
 
Du!, kumbe na mchina naye ni miyeyusho tu.
 
Na ndo tunaelekea huko sasa ,mkiandamana mtaenda kuwasimulia IMF na World Bank wanaowatuma mseme uchumi mbaya wakati uchumi ni mzuri mno hao wanaona wivu tu....
By Lumumba Idiots led by the greatest idiot of all a Chato resident
 
Technology haikuwa nzuri,
HAITA JIRUDIA


technology haikuwa nzuri wapi?

kenya walikuwa na technology gani hadi wasipate shida zile?

Kubalini kuwa ule ujamaa ndio ulipelekea kuwepo kwa shida zile, we mtu raia haruhusiwi kumiliki TV. nasikia mpaka wakati mwingine kumiliki redio ilikuwa mushkeli. Watu wengine mpaka walitupa magunia ya hela porini n.k, teknolojia inaingiaje hapo kama sababu?
 

Naona zama zinajirudia ila Mungu tu Mwema atotuacha yatima tena.
 
Halafu mtu kama huyo anapewa Urais kweli kisha watu wanashangilia eti Tumepata mtetezi wa wanyonge,bila kuwasahau viongozi wa dini,eti huyu ni chaguo la Mungu .
Tanzania ina laana kubwa mno
Nadhani siku ule moto wa kuzimu ukiwekwa makumbusho na tutakapoacha tumia alama ya twiga ( upole conspiracy) na kuacha kula ugali wa mahindi ( chakula cha ng'ombe) ndio tutakuwa na akili.Watu wamekufa akili thus ni mtaji kwa wachumia tumbo. MTU anatumbuliwa wakashangilia baada ya dakika moja anasamehewa wakashangilia tena,je utasema hawa watu wanakili.
 
Tatizo una changanya Mambo,
1.Nyakayi i.e. kipindi cha kutupa hela na kumiliki Mali e.g. TV

2.UJAMAA na MASHARTI YA MABEBERU, hata sasa wanataka USE SHOGA, je utakubali??? wana gawa kondomu, ili hali, nyenzo za umiliki Mali wana zishikiria, UNAPEWA ELIMU YA MATUMIZI na sio MATENGENEZO, e.g. simu, laptop n.k

n.b. JAMBO USILO LIJUA NI SAWA NA USIKU WA GIZA, usimlaumu mwl, sema tu ALI SAILTIWA.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…