Hata Mugabe alikimbilia China yy ameishia wapi.
Kwa ujumla Zimbabwe nimekaa miaka 1995 ilikuwa ni Nchi ya mfano nenda leo nchi ambayo ilikuwa inatuletea misaada ya vyakula kama mahindi yaani kwa wale waliokula Ugali wa unga wa njano hili wanalijua Zimbabwa walianza kuleta misaada na kutusaidia mbegu za mahindi kutoka Zimbabwa.
Kwa hiyo china unayoisemea hakuna kitu zaidi kulimbikiza madeni zaidi
Kwa ujumla Zimbabwe nimekaa miaka 1995 ilikuwa ni Nchi ya mfano nenda leo nchi ambayo ilikuwa inatuletea misaada ya vyakula kama mahindi yaani kwa wale waliokula Ugali wa unga wa njano hili wanalijua Zimbabwa walianza kuleta misaada na kutusaidia mbegu za mahindi kutoka Zimbabwa.
Kwa hiyo china unayoisemea hakuna kitu zaidi kulimbikiza madeni zaidi
China yupo tutatoka tu.