Ya wakati ule yalifanya tukawa na akili hata kidogo za kibepali tulizonazo leo, vinginevyo ingekuwa tatizo zaidi.Yale maumivu ya miaka ile yalileta tija gani na haya ya sasa unadhani tija yake itakuwa ipi?
Hueleweki unapofanya jambo la nchi kama ni masuala ya kivyama. Nyie wenye "Credility" ndiyo kila siku mnakiri hadharani waliowatangulia walikosea kuongoza nchi.Credibility kidogo mliyokuwa nayo mshaipoteza, you better shut up.
Bila kusahau mafuta ya Yolanda, sabuni za Life Boy, dawa za meno - Maxam...Balozi wa nyumba kumi alimwaga DNA’s mtaani kwa kuhonga khanga, vitenge , sukari na battery mche wa mbuni na gardenia.
Wananchi wanatumiaje nguvu kazi zao bila ya kuwa na sera za kifedha nzuri za nchi za kimataifa. Hivi Zimbabwe waliingia kwenye ufukara kwa kuwa tu walikuwa hawana nguvu kazi ya wananchi?Unakuzwa na nguvukazi ya mwananchi mwenyewe.
Mimi sielewi eti hivi tunategwa na mabeberu au tunajitega wenyewe kwa uroho wetu wa madaraka?Acheni masihara tuombe tu Mungu tusiingie kwenye huu mtego maana uchumi utarudi nyuma kwa speed ya light,, na kuja kuwa stable itatuchukua mda sana.
Mungu atuepushe tu na huu mtego wa hawa mabeberu,,
Mkuu umesahau,watu walitembea matako wazi kwa kukosa nguo hata za mtumba.Ndala zilikuwa za tairi za gari.Nakumbuka zama zile za miaka ya 1983 hadi 1984, niko tunaishi mitaa ya Makutano Mabibo jijini Dar es salaam na Kadi yangu ya Rangi ya Kijani ikiwa na maelezo ya Kaya yetu ndani Mwake.
Mchana wa jua kali la Darisalama tukiwa tumekaa barabarani kusubiri gari la "Ugawaji" litaelekea mwelekeo upi na sisi tulifukuzie kwa nyuma. Hakuna aliyejua leo ni zamu ya duka gani kupelekewa chakula ama mahitaji mengine muhimu ili wakazi wa eneo letu waende wakanunue.
Shuleni wanafunzi wanavaa nguo zisizo na rangi maarufu kama "Maradufu" kutokana na viwanda vya kuzalisha nguo kukosa rangi za kuweka ili vitambaa hivyo viwe na rangi ya Bluu Maalum zama hizo kwa sare za shule za msingi.
Mitaani watu wanavuta sigara kwa "Puff" kwa hela ulizo nazo. Watu wanafua nguo zao kwa kutumia majani ya mpapai, sukari inakaangwa ili kutengeneza chai kwa kuwa hakuna majani ya chai na wenye majani ya chai wanaweza kutumia sukari guru badala ya sukari ya kawaida kama kiungio.
Unakwenda kwenye duka la ushirika kwa mfano kununua Sukari unalazimshwa kununua na kitu kingine kwa mfano Chujio la chai ama birika. Watu wa Darisalama tuliteseka sana na wanawake wengi walibakwa na watu waliojifanya wana bidhaa hizo "adimu" majumbani mwao..
Wakati ule Mgambo na wenyeviti wa maduka ya Ushirika walikuwa kama ni Miungu watu. Sisi kwetu kulikuwa na mgambo aliyetembea na wake za watu alivyopenda kisa yeye ana nafasi kubwa sana ya kupata vitu kwenye duka la Kaya la Mtaani kwetu.
Hayo yote yalisababishwa na Ugomvi wa Mwalimu JK Nyerere na wakubwa wa IMF na World Bank. Umaskini ule ulitutosha hatutaki hali ile ijirudie tena kwenye kizazi hiki.
CC: Mshana Jr Pascal Mayalla
Hivi Tundu lisu ndo ametunga Sheria ya takwimu? Mkuu Kama huna nauli ya kwenda Dodoma mie ntakuchangia pleaseMwambie sasa Tundu Lisu aache ujinga anaoufanya kama kweli unamaanisha na hutak turud huko.
Hapana! Yeye ndiye aliyeifanya zambia ipae kiuchumi hadi kufikia kuwa "dona kantre".Du kumbe na China naye ni miyeyusho tu.
Toa hoja mzee! Matusi hayasaidiiMpuuzi sana wewe, kama nilicho andika huelewe shona akili zikukae vizuri usinizoeee mshenzi wewe
Dodoma kuna mambo matatu:Hivi Tundu lisu ndo ametunga Sheria ya takwimu? Mkuu Kama huna nauli ya kwenda Dodoma mie ntakuchangia please
Sera za kimataifa ni kwa ajiri ya manufaa yao waliozitunga,haziwezi kukufaa wewe wakati wote, una factor tofauti.Wananchi wanatumiaje nguvu kazi zao bila ya kuwa na sera za kifedha nzuri za nchi za kimataifa. Hivi Zimbabwe waliingia kwenye ufukara kwa kuwa tu walikuwa hawana nguvu kazi ya wananchi?
Mamaee,nimecheka vibaya mno,kwamba akili zimedumaa kwa kula chakula cha ng'ombe?!!Nadhani siku ule moto wa kuzimu ukiwekwa makumbusho na tutakapoacha tumia alama ya twiga ( upole conspiracy) na kuacha kula ugali wa mahindi ( chakula cha ng'ombe) ndio tutakuwa na akili.Watu wamekufa akili thus ni mtaji kwa wachumia tumbo. MTU anatumbuliwa wakashangilia baada ya dakika moja anasamehewa wakashangilia tena,je utasema hawa watu wanakili.
Mkuu mbona unajichosha bure? Yaani huyo jamaa huoni Kama ni mgonjwa?Nimekariri nini sasa?
Nahisi wewe ndiye Mtoto na hujui unaloliongea, unajua azimio LA arusha? Hujui utaifishaji wa majumba, mabenki, mashule, mahospitali, makampuni nk? Au wewe unajua nn?Nina mashaka na UMRI wako, na jinsi ulivyo hadithiwa,
HISTORIA MASHULENI HAWA WAALIMU WANA POTOSHA WATOTO WETU,
ndio maana naanza kuona sasa VIJANA wanakosa UZALENDO.
Bwana "Mikonyezo",sio kwa kuwapelekea moto wake za watu hapo kijijini,naamini lazima alikufa kwa ngoma baadae.Afadhali mabalozi wa nyumba kumi, Mgambo walifanya kufuru sana. Kwetu kulikuwa na mmoja anaitwa "Mikonyezo" huyu alikuwa hatari ukichanganya alikuwa anamiliki Vespa "Batavuzi".
Mapinduzi ya kuongeza umasikini sio?!Ikulu sio uwanja wa majaribio, awamu ya kwanza na ya tano zote ni awamu za mapinduzi, lazima kuwepo maumivu.
Hii hoja inaupotoshaji wa hali ya juu sana. Urusi na Uchina walitoka kwenye Ubepari kwenda kwenye ushoshalisti na Ukomunist na wamerudi kwenye Ubepari unaodhibitiwa na dola,Sera za kimataifa ni kwa ajiri ya manufaa yao waliozitunga,haziwezi kukufaa wewe wakati wote, una factor tofauti.
Kule urusi, china na kolea waliamua tu na ikawezekana. Sasa hivi kila mtu anamheshimu mwenzake.
Mkuu umesahau pia kuwa kule Kuna hospital ya watu maalumu Kama yeyeDodoma kuna mambo matatu:
Sijui kati ya hayo matatu ukimpa nauli litamkuta lipi?
- Kupigwa risasi
- Kuchapwa bakora kichwani mpaka uzimie
- Au uingie ukumbini pekupeku
Haikuwa kijijini bali Darisalama maeneo ya Mabibo Makutano.Bwana "Mikonyezo",sio kwa kuwapelekea moto wake za watu hapo kijijini,naamini lazima alikufa kwa ngoma baadae.