Umasikini ule ulitutesa sana, Isijirudie tena...


Copy na paste sema tu wameshindwa dhibiti mitandao kama North Korea
 
Kama enzi zile walivyokuwa wakitukanwa kina Kambona pekee.
Kweli hakuna jipya juu ya uso wa dunia.
 
Copy na paste sema tu wameshindwa dhibiti mitandao kama North Korea
uzuri kaishajichanga, mapato mengi ya serikali sasa yanakusanywa kwa nguvu ya internet hivyo anashindwa kubonyeza kitufe cha kuzimishia internet, ila aki acquire technologia ya kuselect na kuthibi taarifa fulani fulani, atafanya sherehe siku hiyo, na yawezakuwa iko kwenye installation.
 
Nchi zote ambazo marais wanaongozwa na EGO huishia kuumiza wananchi wake. Mimi huyu bwana huwa sielewi kinachomfanya avimbie wadau wakubwa huwa ni nini simuelewi, yaani ana ka immaturity fulani hivi ogopeshi sana.
Ujinga wake tu mkuu
 
Enzi hizo baba yangu alikuwa akinituma kaduka kalikokuwa kakiitwa kwa mlanguzi kununua peremende za kunywea chai badala ya sukari maana ilikua adimu.
Kwa wahenga wa b aona kuna kila dalili za kurudi kule kwa hii staili ya dereva tulie nae.
 
Kama enzi zile walivyokuwa wakitukanwa kina Kambona pekee.
Kweli hakuna jipya juu ya uso wa dunia.
Copy na paste sema tu wakati ukuta.Ukiwa bingwa wa kusifu na kuabudu au mdomo mchafu yaani kujitoa ufahamu kutukana upinzani ni CV tosha ya teuzi.Waafrica aliyetuloga kaffa atuchekani na mababu zetu akili za kuswagwa kama ng'ombe.
 
Kadangwa na kabudi eti ni mmbobezi wa sheria za kimataifa na kumfanya kuwa the chief negotiator. hahahhahahah una negotiate kwa kutumia sheria,

Akajifunze kwa President Trump & President xi, wote wameweka sheria pembeni.

Sasa sekta ya madini kaiua, uwekezajia sekta ya nishati (umeme kaua) anajifanya kujitutumia na kujenga bwawa mto rufiji eti kwa hela zake mwenyewe, mabwawa siku hizi wanajenga wachina nao kaisha watibua, Alianzia kwenye kilimo cha mbaazi akaharibu, akaenda kwenye korosho kaharibu, bila kujua yeye ndio tatizo fedha za kigeni haziingi nchini kaingilia mfumo wa biashara za fedha fedha, kote huko anadhurumu watu, sasa kaingilia sekta ya mawasiliano, akiivuruga na hii atajuta hamna rangi ataacha kuona
 

Ila wajiandae kulimia meno na genge lake hata Kama ni Miaka 40 ijayo,historia haikimbiwi.Uzuri google utunza kila kitu wasije zikana tu kauli na matendo yao.
 
Upo sahihi, lakini hawa tuliofikiri wangekuwa mbadala wamethibitisha kuwa wa hovyo zaidi kuliko CCM. Tufanyeje?!
 

Kavuruga elimu check matokeo
Kavuruga umoja wetu kaleta chuki sababu ya dabo standard ,ukabila,udini na ukanda.
Kavuruga utalii kwa kuuwa maduka ya kubadili fedha maana benk hazifanyi Kazi wikiendi hivo watu wanakosa huduma mfano MGENI kaja wikiendi aspendi ili jtatu awahi kazini nchini mwao hapati huduma za kibenk zinafungwa wikiendi.
Kaua export,
Kaua GDP uwezo wa ndani wa kuzalisha
Kaua biashara za wengi
Kaua private sector ndio nguzo ya uchumi
Itatuchukua Miaka 40 japo kurudi alipotuacha kikwete Lkn tupate watu sahihi.
 
Ndio maana nakuambia hakuna kisishowezekana mkuu.
Huyu mtu asipodhibitiwa atatufikisha huko.

Yule wa nchi ya watu wasiojulikana watu hawajamjulia tu ni MTU muoga na dhaifu sana nje ya kukamilishwa na nguvu ya kimamlaka,laiti Wangekuwa wakimburuza sana mahakamani kila akitoa matamko binafsi angekaa kwenye mstari,pia angeogopa kutoa to a amri na vitisho.Ukali vitisho ubabe ni hulka ya MTU muoga utumia hivo kukeep distance msijue madhaifu yake.Kiongozi smart na imara ujikamilisha kwa hoja fact ukupiga shule hadi unaelewa akamilishwi na dola.
 
Mkuu nimekuuliza kwa sababu nilikuwa nanunua unga naenda kupika ugari home,sasa nikataka kujua Kama hawali ugari ule unga kule supermarkets ni kwa ajiri ya nini?

Ni kwa akili ya watokao Africa hata kama wana kula si ndo key food yaani kutwa mara Tatu.Wengi wao wanatumia kama kutengeneza chakula mfano wa uji uji hivi wanaita puddin. Lkn Kazi kuu mahindi wanazalisha starch,mafuta,na kulishia mifugo.Chakula kikuu ni ngano utengenezwa mikate,barger, macaron,,Tambi,chapati kwa watu wa Asia.nk
 
Watu wanaokaaa kumsifu Nyerere kua alikua rais bora,nawaona ni wendawazimu sana.
Rais gani unakaa madarakani miaka 25, unaondoka nusu ya raia wako hawajui kusoma,kuandika wala kuhesabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…