BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Ni chaguo la shetani huyu. Mungu hawezi kutuchagulia mwizi, fisadi, mwenye chuki za kutisha, roho mbaya na visasi, muongo na MUUAJI.
Halafu mtu kama huyo anapewa Urais kweli kisha watu wanashangilia eti Tumepata mtetezi wa wanyonge,bila kuwasahau viongozi wa dini,eti huyu ni chaguo la Mungu .
Tanzania ina laana kubwa mno