Umasikini wa mtu unaanzia kichwani pake. Kama utani nilivyopoteza mtaji wangu wote kizembe

Huyu jamaa kama umemkumbuka kwenye ile story yeye na rafiki yake Agustino walivyoenda kwa mganga kutafuta utajiri utagundua kuwa huyu chalii ni mwandishi tu wa story na sio yaliyowahi kumkuta yeye.
Ata Kama Ni mwandishi tu Ila ili Jambo Lina ukwel kabsa wengi wapo hvyo
 
Big up mkuu ,i wish tufahamiane tubadilishane madini
 
Hakupata mafunzo Interchick.
 
Hakupata mafunzo Interchick.
Alikuwa na jamaa flani ndiye kama mentor wake, alijitahidi kuleta wataalam wa kujenga mabanda ya kisasa, chanzo aliwapa kwa muda, yani alikuwa analeta wataalam na bado wakafa
 
Ndugu zanguni ni kosa kukopa ili ujenge nyumba yako ?
Mfano ulikuwa na pesa yako umepambana kwenye kujenga lakini pesa ikapelea ukaamua kukopa kama laki mbili ili ufanyie ujenzi wako . Umekopa na lengo lako nikulipa hiyo pesa kwa muda kadhaa na ukalipa hivi kunakuwa na shida ..
 
Ila wanawake watamu jamani...mie nilishajiamulia wacha tuu nizike hela yangu kwenye papuchi maana ndio raha ya dunia na hizo hela zenye nukifa nktaziacha tuu so bora nifurahie maisha kwa kugegeda papuchi
[SUP]😂😂😂😂😂😂[/SUP]
 
Story zako zinasisimua...ile ya mwamba Agustino ILINITISHA
 
Hapana mkuu, labda kama unaishi kwa kuwaangalia wao
 
Una degeree ya ualimu na hujui kuandika
 
Kinachotucost vijana wengi sisi wa kiafrika (ngozi nyeus) Ni nidhamu ya maisha.

Na Nidhamu inaanza kwny malezi,hatuzingatii vitu km afya,kutunza fedha na mengineyo.
 
Ndio uwekezaji mkubwa huu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…