Umasikini wa Watanzania chanzo chake ni kupenda kujenga nyumba ya kuishi kwanza badala ya kuanzisha biashara

Umasikini wa Watanzania chanzo chake ni kupenda kujenga nyumba ya kuishi kwanza badala ya kuanzisha biashara

Hutakuwa tajiri kamwe. Ila utakuwa mstaafu mwenye aman

Amekwambia anataka kuwekeza huku anaendelea na kazi za kuajiriwa sas wewe unampa mawazo ya utajiri!,anausimamiaje au kuutafutaje huo utajiri wakati anauza muda na skills kwa muajiri wake!?
 
Mkuu Siku zote maisha huwa hayana formula, unaweza ukamuiga muhindi nawewe ukaacha kujenga,, hako ka hela ukakasukumia kwenye biashara kakafia hukohuko ukakosa vyote,, mwisho wa siku mwenye pango lake akakutimua. Fanya kile unachoona kinafaa kwenye maisha yako, Acha kuiga. Unaweza ukakuta huyo huyo muhindi wako amepanga kumbe Kule kwao ameacha mijengo yake na yeye amepangisha, kila mwezi anatumiwa kodi ndio maana unamuona hateteleki. Au Kule kwao ana miradi na mingine huwa wanamtumia pesa, ndio maana hateteleki. Sasa wewe iga tu kama haujajipanga au hauna hata plan b, utacheza segere pale biashara yako itakapokuwa mochwari na mwenye nyumba anataka chake, wakati huo watoto wanataka ada.

Ni kweli maana muhindi kaja kutafuta ugenini na hujui huko kwao labda kajenga halafu pia anaupimaje utajiri wa wahindi?
 
Ni kweli maana muhindi kaja kutafuta ugenini na hujui huko kwao labda kajenga halafu pia anaupimaje utajiri wa wahindi?
Kweli kabisa ,usione mzungu sijui muhindi yupo bongo anafanya biashara au anafanya kazi ukajua kwao hajengi,hawa watu wanajenga makwao,hii nimeshuhudia mwenyewe,cha msingi kila mtu afate njia zake anazoona zinafaa hakuna ambae hayupo sahihi.
 
Kwa wafanyabiashara kuanza kuingiza mamilioni kwenye mjengo kabla ya biashara kustabilize ni kosa ila kwa mwajiriwa ni sawa kuanza kujenga nyumba ili kukwepa gharama za kodi.
Mkuu hongera, umesummarize vyema mdahalo.
 
Back
Top Bottom