Umaskini uliokithiri Kenya, Tazama Watoto wasomea chini ya Mti, funza waathiri wanafunzi kwa Walimu.

6th. Fuata thread yangu vizuri. Usiongeze chumvi. Nenda kwa thread yangu ukasome hio list vizuri. Sisi ni wa sita.
 
What is so wrong with that?
Hivi kenya ni middle income ya aina gani eti?
Huoni aibu kwa niaba ya huyo mwalimu mtz? Afadhali Kenya ambapo wanapata donge la maana kila mwisho wa mwezi. Hapo dona kantri wanaishi kama mashetani, hata nyongeza ya mishahara kila mwaka ni ndoto.
Unaokota picha za turkana na kuleta hapa,
Haha! 😀 Hapo ni Kagera, ndani ya nchi ya 'asali na maziwa', kwenye enzi hizi kuna njia nyingi sana za kuthibitisha uhalisia wa picha. Ila najua vitu rahisi kama hivyo kwako ni nyuklia science. Pole jombaa.
 

Hilo donge linaenda wapi wakati maisha yenu ndio haya
 
Heheeee!!kawambieni mabeberu watutoe katika hyo status
 
What is so wrong with that?
Hivi kenya ni middle income ya aina gani eti?
Mashida ni mingi Sana kwenyu,cha kushagangaza kila saa mnashughulika na Kenya lakini tunajua mko kazi kueneza propaganda za ccm.
 
Mashida ni mingi Sana kwenyu,cha kushagangaza kila saa mnashughulika na Kenya lakini tunajua mko kazi kueneza propaganda za ccm.
In any case these are ccm bootlickers,when you meet them spreading propaganda don't spare them.They are really giving a bad name to true Tanzanians
 
Mashida ni mingi Sana kwenyu,cha kushagangaza kila saa mnashughulika na Kenya lakini tunajua mko kazi kueneza propaganda za ccm.

Kwamba hata hawa mazombi wa Nairobi ni Propaganda za ccm?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…