kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Baada ya kuishi hizi nchi za wenzetu
Nimeona mambo mengi pia nimejifunza mambo mengi
Hasa hasa mambo ya uongozi japo sina elimu kubwa zaidi ya kujua how hawa wenzetu wanaongoza nchi zao ila nimejifunza machache kidogo
Cha kwanza
Ni madaraka ya Rais
Katika nchi za wenzetu Rais ana play nafasi ndogo saana katika nchi pia hana mamlaka ya kuamua chochote na kukubaliwa. Njoo africa Rais ni Mungu.
Cha pili ni the way wanavyo ongoza mikoa Yao
Katika nchi za wenzetu kila Provence inajibeba yenyewe. Pia kila cities katika province inajibeba yenyewe
Katika nchi za wenzetu wakuu wa mikoa wanachaguliwa na Raia sio kuteuliwa na Rais
Katika nchi za wenzetu wakuu wa kila mkoa una ensemble national yake
Sehemu ambayo wanajadili maendeleo ya mkoa wao njoo Afrika Rais ndo kila kitu
Asanteni
Nimeona mambo mengi pia nimejifunza mambo mengi
Hasa hasa mambo ya uongozi japo sina elimu kubwa zaidi ya kujua how hawa wenzetu wanaongoza nchi zao ila nimejifunza machache kidogo
Cha kwanza
Ni madaraka ya Rais
Katika nchi za wenzetu Rais ana play nafasi ndogo saana katika nchi pia hana mamlaka ya kuamua chochote na kukubaliwa. Njoo africa Rais ni Mungu.
Cha pili ni the way wanavyo ongoza mikoa Yao
Katika nchi za wenzetu kila Provence inajibeba yenyewe. Pia kila cities katika province inajibeba yenyewe
Katika nchi za wenzetu wakuu wa mikoa wanachaguliwa na Raia sio kuteuliwa na Rais
Katika nchi za wenzetu wakuu wa kila mkoa una ensemble national yake
Sehemu ambayo wanajadili maendeleo ya mkoa wao njoo Afrika Rais ndo kila kitu
Asanteni