Umati wa usaili UDOM: Tunahitaji mjadala wa Kitaifa kuhusu tatizo la ajira nchini

Umati wa usaili UDOM: Tunahitaji mjadala wa Kitaifa kuhusu tatizo la ajira nchini

Izo conference ndio janga lingine mnawapotezea mda zaidi vijana mkisubiri posho baada ya vikao vyenu yani hii nchi watu wabinafsi sana.
Tunayajenga mkuu
Kumbuka if you fail absolutely you planned for failing
 
Tunayajenga mkuu
Kumbuka if you fail absolutely you planned for failing
Failing has never been an option to anyone, lakini system zetu zinawatu wabinafsi sana na kupotezeana mda unataka kunipanga kuhusu kujiajiri wakati unasubiri posho ata sijui nitakulaje huo mchana ni kitu gani kitazungumzwa kisichowezwa kufika kwa njia ya maandishi!? Gaddamit!
 
Sasa mtu umeitwa kwenye udail wew unajijua hal ngunu hata naul hauna wala pesa yakwenda kujitunza uko ukiwa unasubir hauna, alafu unaenda kufanya nn? Sometime elimu nayo inahitajika ktk kufikil kwenye mambo madg kama hayo, unajua kabs nafas n chache, alaf wanaohitaji n wengi, wew kujituliza home waona nini?? unakuta nafasi imetangazwa wanahoitajika ni kama hao 20, walioenda kugombania nafas ndy kama hao zaid ya 300.

Hapo kuna ambao wana connection, kuna ambao watatoa rushwa, kuna ambao wana vijidawa vyakishirikina , na kuna wew hapo ambaye hauna chochote chakukusaidia, then unataka utoboe kwenye nafas?? hiyo kitu haipo asee tukazane kulima na kudunduliza vijikaz huku huku mitaan kulko kupoteza muda na naul ambapo ungeitumia iyo pesa ya naul kununua maji na sigara kuuza stend, ungefaidika na vimia3 hivi, wasomi ni mzgo, kuna shauri nging sana niliwai toa ktk mitandao ya kijamii,.kama serkali.itafanyia ,kazi basi tatizo la ajira litakwisha kabisa
 
Website ya Ajira ni tatizo sana kwenye suala la kuajiri watu.

Kama taarifa inasema mtu awe amesomea Bachelor of Account wewe ukiwa na B.com yako au B.A yako hawakuchukui hats kama kwenye bachelor yako ulistick na Account.
Hyo website ina shida mfano wa course unakuta ni social science zina relate Bado wanakatilia watu naona hawajitambui aisee. Mfano computer science, IT software engineering naona zina relate ila mtu akifanya application Ina mugomea
 
Unajua issue ni kwamba tume ya ajira wanakwepa lawama kwa hiyo inabidj wamuite kila ambae ame qualify minimum requirements za nafasi husika ambayo imetangazwa. Si unakumbuka zile enzi ambapo malalamiko yalikua makubwa sana kuwa taasisi na mashirika ya umma yanaajiri kwa kujuana na vimemo?

Hilo ndo likazaa tume ya ajira ambayo sasa ndo inaratibu michakato ya ajira kwa taasisi za uma kwa asilimia kubwa, sasa ili kuondoa au kupunguza hayo malalamiko, inabidi waite tu wote waliokidhi vigezo hata kama wako 10,000 na nafasi ziko 2 tu.

Maana fikiria, kama wametangaza nafasi halafu walio meet vigezo vilivyowekwa wako 2000, mnapunguzaje kupata 20 tu ambao ndo mtawaita interview wagombanie hizo nafasi 5 bila hao wengine 1980 ambao na wao wana minimum requirements zote zilizowekwa kulalamika kuwa ajira ni za kujuana?

Ndio maana wanaamua wawaite wote tuu hata kama wako 10,000 kila mmoja apambanie hizo nafasi 10 zilizopo.
Wajaribu kuwashirikisha na taasisi zinazohitaji hao wafanyakazi wanaotaka kuajiriwa, hivyo kuongeza hivyo vigezo ili visaidie kupunguza idadi ya interviewees.

Mfano mimi nimewahi kushiriki katika kuhoji waajiriwa watarajiwa wa taasisi niliyokuwa nafanyia kazi. Mchujo wa kwanza ulishirikisha vilevile maafisa wataalamu kutoka taasisi ili kuhakikisha kwamba walioteuliwa kwa mahojiano wanafaa kwenye zile post. Kwenye kila post moja walikuwepo wahojiwa sita baada ya mchujo na kwa asilimia kubwa walikuwa hawatafautiani sana kwa majibu.
 
Leo asubuhi nimemleta mtu hapa UDOM kuhudhuria Usaili wa kazi za Utumishi, hakika watu ni wengi. Binafsi nliyemleta ameitwa kwenye Usaili wa nafasi za National Audit, only 10 kama sio 20 nafasi lkn wameitwa watu sio chini ya 3400, yaani watu hao ndio wapatikane only 20 people. Kibaya zaidi wameitwa watu waliosoma Business Administration lkn wamefika wakaaambiwa hawana sifa.

Sasa unajiuliza kama hawakua na sifa waliwaita vipi? Hizo garama alizotumia kuja hapa Dodoma atalipwa na nani? Kuna dada kwa Mfano katokea Ifakara, anasema kaja kwa malori na kaingia Dodoma saa 8 za usiku then amekataliwa kufanya usaili eti kasoma Business Administration, kwakweli Inauma na inakera mnoo.

Kingine nnaomba kufaham ikiwa watu wa Utumishi wananufaika vip na hizi Interview maana haiingii akilini wanaohitajika kua 10 au 20 unaita watu 3600 kwenye usaili. Yaan hawana njia ya kuwachuja japo basi waitwe 100 ama 200 badala ya kuwapotezea muda hawa vijana tena ambao wengine nauli wamekopa?

Hili swala ni nyeti sana kwa mustakabali wa Taifa, hawa watu waiichoka nchi haiwez kua salama maana ukiangalia idadi ya wanaosaka ajira na nafasi zilizopo kuna shida mahala.

Mwisho niwaombee wanaosumbuka na hizi Interview Mungu Awape Subra
Naombea siku moja vijana walipuke, ili wagawa keki ya taifa wapate akili.
 
Vimemo havitaisha hata siku moja, nina rafiki yangu alipata mtu wa kumuungaisha tanroad mwaka jana huku wengine tukikimbizana kufanya app kabla ya deadline jamaa yeye ameshapigiwa simu anataka kufanya wilaya gani ktk nafasi hizo. Kwa hyo wakati mwngine hizo nafasi ni kuchosha watu na kuwapa gharama zisizo za lazima ikiwa tayarii wao wana watu wao.

Mimi nikiona kazi ya serikali inahitaji mtu mmoja wawili wala sijichoshi kuiomba.

Kuna tangazo lingin waliwahi kutoa sijui nafasi za nini beforw deadline watu washaitwa wakafanye interview wewe huku unakimbizana na gharama za posta na printing kumbe tayar wenzio washakaa kwenye interview tena one week before deadline
Na hiyo inakwenda kwa hata baadhi ya taasisi za kimataifa, huwa tayari wanae mtu wao nyinyi munaitwa kukamilisha mchakato tu.
 
Unawaingiza watoto wa watu gharama buma sababu za msingi kabisa Kwa kuwaita then unawapotezea.

Hapo ndipo napomuona huyu pdf guy nu genius haswa

Hafu hzo oral kwanini zisiwe zinafanyika online via zoom au micro softteams kuliko kusumbua watu na kuepusha gharama maana dunia ya Sasa ni digital zaidi
 
Leo asubuhi nimemleta mtu hapa UDOM kuhudhuria Usaili wa kazi za Utumishi, hakika watu ni wengi. Binafsi nliyemleta ameitwa kwenye Usaili wa nafasi za National Audit, only 10 kama sio 20 nafasi lkn wameitwa watu sio chini ya 3400, yaani watu hao ndio wapatikane only 20 people. Kibaya zaidi wameitwa watu waliosoma Business Administration lkn wamefika wakaaambiwa hawana sifa.

Sasa unajiuliza kama hawakua na sifa waliwaita vipi? Hizo garama alizotumia kuja hapa Dodoma atalipwa na nani? Kuna dada kwa Mfano katokea Ifakara, anasema kaja kwa malori na kaingia Dodoma saa 8 za usiku then amekataliwa kufanya usaili eti kasoma Business Administration, kwakweli Inauma na inakera mnoo.

Kingine nnaomba kufaham ikiwa watu wa Utumishi wananufaika vip na hizi Interview maana haiingii akilini wanaohitajika kua 10 au 20 unaita watu 3600 kwenye usaili. Yaan hawana njia ya kuwachuja japo basi waitwe 100 ama 200 badala ya kuwapotezea muda hawa vijana tena ambao wengine nauli wamekopa?

Hili swala ni nyeti sana kwa mustakabali wa Taifa, hawa watu waiichoka nchi haiwez kua salama maana ukiangalia idadi ya wanaosaka ajira na nafasi zilizopo kuna shida mahala.

Mwisho niwaombee wanaosumbuka na hizi Interview Mungu Awape Subra
Mtu wa BA kuitwa kwenye Auditing ni kichekesho, arudi tu tuuze mitumba hapa Kimara mwisho.
 
Nakwambia hii kutokana na experience.
Well, inategemea shirika na shirika.
Ila mimi nimefanya interviews nyingi sana mashirika ya aina hiyo na mimi pia experience yangu ni kwamba ni merit-based kiukweli. Na sasa hivi mimi kwenyewe nashiriki kwenye interview panels, kwa kweli hakuna vimemo mwendo ni merit based, na ikigundulika tu kuwa mchakato ulikua na shida sehemu, mchakato inaanzishwa upya (nimeshuhudia hii ikifanyika mara mbili baada ya kuonekana kulikua na irregularities).
 
Leo asubuhi nimemleta mtu hapa UDOM kuhudhuria Usaili wa kazi za Utumishi, hakika watu ni wengi. Binafsi nliyemleta ameitwa kwenye Usaili wa nafasi za National Audit, only 10 kama sio 20 nafasi lkn wameitwa watu sio chini ya 3400, yaani watu hao ndio wapatikane only 20 people. Kibaya zaidi wameitwa watu waliosoma Business Administration lkn wamefika wakaaambiwa hawana sifa.
Sasa unajiuliza kama hawakua na sifa waliwaita vipi? Hizo garama alizotumia kuja hapa Dodoma atalipwa na nani? Kuna dada kwa Mfano katokea Ifakara, anasema kaja kwa malori na kaingia Dodoma saa 8 za usiku then amekataliwa kufanya usaili eti kasoma Business Administration, kwakweli Inauma na inakera mnoo.
Kingine nnaomba kufaham ikiwa watu wa Utumishi wananufaika vip na hizi Interview maana haiingii akilini wanaohitajika kua 10 au 20 unaita watu 3600 kwenye usaili. Yaan hawana njia ya kuwachuja japo basi waitwe 100 ama 200 badala ya kuwapotezea muda hawa vijana tena ambao wengine nauli wamekopa?
Hili swala ni nyeti sana kwa mustakabali wa Taifa, hawa watu waiichoka nchi haiwez kua salama maana ukiangalia idadi ya wanaosaka ajira na nafasi zilizopo kuna shida mahala.
Mwisho niwaombee wanaosumbuka na hizi Interview Mungu Awape Subra
Tatizo la ajira limeanza siku nyingi sana, ila linazidi kuongezeka/kukua kadri muda unavyokwenda.
Ndio maana hata waheshimiwa nao "wanakijifichia" kwenye siasa kama utumishi ila wanajilipa maslahi makubwa ya mishahara na gratuity kila baada ya miaka 5.
Kama tutakumbuka kuna wakati Rais Mkapa akiwa madarakani, wakubwa wengi walitengeneza fursa za ajira BoT na watoto wao wakapata ajira kwa vyeti vya form 4 tu.
Wakati wa JK kuna scandal ya uhamiaji kuingiza watoto wao/ndugu zao kwenye ajira, yote haya yana-symbolize ajira ni issue.
Wakati wa JPM kuna wakati Hamad Masauni akiwa N/Waziri mambo ya Ndani aliwachomeka nduguze 6 kwenye mfumo wa ajira polisi, nadhani mzee akashtukia.
Wakati wa JK kuna ajira TRA vijana waliokuwa wanataka ajira walikutana national stadium.

Surprisingly bajeti ya kila mwaka ikiwamo hii ambayo imepitishwa juzi hai-address kwa kina nini kifanyike ili kuongeza wigo wa kazi Tanzania.

Nitoe mfano, kuna tozo kikodi kuchangia mfuko wa barabara (road fund), kuna tozo kuchangia REA, kuna tozo kuchangia mfuko wa maji, kuna tozo kuchangia ujenzi wa barabara zilizo chini ya LGA (TARURA).
Pengine tujiulize, what are the returns on investment kwenye mabilioni ya kujenga barabara (assuming km 1 ya lami inatumia wastani wa 1.2bn).
Mind you kwenye uwekezaji wowote uwe wa private sector, public sector au parastatal organizations hichi ndicho kinatokea
18% ya manunuzi ya bidhaa nia huduma zinaingia serikalini
30% ya corporate tax inaingia serikalini
3% ya manunuzi ya umeme zinaenda REA na EWURA
10% muajiri anatoa kwenda pension funds
Imports of goods kuna % inaingia kwenye kuboresha
the list goes on
Ukifanya simple analysis ni kama uwepo wa organized systems kama ajira unapelekea maendeleo ya watu kuwa makubwa ikiwamo kukua kwa huduma za kibiashara kama banks, insurance, legal, logistics, real estate, entertainment, marketing the list goes on

Sasa tujiulize, (sina ugomvi na Waziri wa fedha wa sasa au yule wa zamani ambae kwa sasa ni Mhe. Makamu wa Rais au yule wa enzi ya Mkapa waliotitaka tule nyasi ili ndege ya Rais inunuliwe) ila nina hoja ya kujiuliza.

Ni namna gani serikali inaweka juhudi za makusudi za sera, sheria na mikakati ambayo ina-address ku-cut down imports za basics supplies kama nguo na vitambaa, viatu, sox, chupi, sidiria, toothpick, mifagio ya ndani, mafuta ya kula, samaki, nyama (products za nyama kama sausage), maziwa, sabuni za kufulia na kuogea, mbegu za mahindi, mbegu za matunda na mbogamboga, madawa ya kilimo na mifugo, madawa ya binadamu the list goes on
Ukifuatilia hizo items utajua ni ukekaji ambao wenzetu kule nje wamefanya na wamezalisha ajira kwa vijana wao (mind you mishahara ya wafantakazi iko taxable)
Sasa kwa kujua ajira sekta rasmi ni taxable entity kwenye company operations kama VAT, taxable kwenye profit kwa 25% kama kampuni imesajiliwa Dar stock exchange na 30% kama haijasajiliwa kwenye soko la hisa; hii itupe kujua lazima kuwa na collaborations efforts ili tuzalishe ajira kwa wingi kwenye kuzalisha (basics supplies kama nguo na vitambaa, viatu, sox, chupi, sidiria, toothpick, mifagio ya ndani, mafuta ya kula, samaki, nyama (products za nyama kama sausage), maziwa, sabuni za kufulia na kuogea, mbegu za mahindi, mbegu za matunda na mbogamboga, madawa ya kilimo na mifugo, madawa ya binadamu the list goes on)

Ila kama serikali itakaa ikisubiri akina "Dangote" waje, sio kila Don atakuja. Lazima kuwatengeneza hao ma-Don.

Moja ya namna ya kuwatengeneza ni kuweka mfumo huria kwenye namna ya kupata mitaji ya uwekezaji.

Rejea mchango wa mwana JF mwenzetu japo chini akidadavua namna ya kuweka uhuria kwenye soko la mitaji kama tool ya kukuza uchumi wetu.

What will it take for Tanzania to become a successful Middle-Income Country?
 
Back
Top Bottom