Umati wa usaili UDOM: Tunahitaji mjadala wa Kitaifa kuhusu tatizo la ajira nchini

Umati wa usaili UDOM: Tunahitaji mjadala wa Kitaifa kuhusu tatizo la ajira nchini

Ndugu zangu nalisema hili kwa uchungu sana.

Kama huna Godfather kwenye hizo Taasisi za Serikali, wewe kupata kazi ni kizungumkuti. Watu wanahonga mpaka milioni 5 ili apate kazi Tanesco au TRA au TAWA na anapata, hizo kitu mnaita Usaili kwa kiasi kikubwa ni kuwaridhisha tu wananzengo ili msipige sana kelele. Kuna nafasi ziliwahi kutangazwa na Mamlaka ya Anga walikuwa wanataka watu, kabla hata usaili kufanyika tayari kuna watu wakawa wameshazikava zile nafasi na kazi wameanza.

Kuna kitu nilikuwa nakiona binafsi, mama angeamua sasa tuanze kupunguza idadi ya milima tuliyonayo, vijana tupewe nyenzo na Serikali kwa kukopeshwa, nchi yetu ijengwe kwa barabara za kokoto na Mawe na sio lami tena. Tuanzie Morogoro na Dodoma, tukeleze hiyo milima mpaka ipatikane kokoto na mchanga wa kokoto ndio utumike, eneo litakalopatikana tuanze kulima, mitaji tutakuwa tumeshaipata.

Pia, Mama aruhusu kilimo cha bangi. Amin nakwambia, uvutaji wa bangi mitaani utapungua kwa kasi ya ajabu mno maana kila atafocus kwenye kuiivisha ili apige mpunga wa maana.
 
Well, inategemea shirika na shirika.
Ila mimi nimefanya interviews nyingi sana mashirika ya aina hiyo na mimi pia experience yangu ni kwamba ni merit-based kiukweli. Na sasa hivi mimi kwenyewe nashiriki kwenye interview panels, kwa kweli hakuna vimemo mwendo ni merit based, na ikigundulika tu kuwa mchakato ulikua na shida sehemu, mchakato inaanzishwa upya (nimeshuhudia hii ikifanyika mara mbili baada ya kuonekana kulikua na irregularities).
Hata Mimi ndo ninavojua hivo na labda incase ka wanataka kumchukua internal candidate wao aliyejitolea.
 
Well, inategemea shirika na shirika.
Ila mimi nimefanya interviews nyingi sana mashirika ya aina hiyo na mimi pia experience yangu ni kwamba ni merit-based kiukweli. Na sasa hivi mimi kwenyewe nashiriki kwenye interview panels, kwa kweli hakuna vimemo mwendo ni merit based, na ikigundulika tu kuwa mchakato ulikua na shida sehemu, mchakato inaanzishwa upya (nimeshuhudia hii ikifanyika mara mbili baada ya kuonekana kulikua na irregularities).
Of course siyo mashirika yote, lakini angalia yale ya kimataifa ambayo jamaa zetu Watz wametamalaki katika baadhi ya idara au vitengo (sitaki kutaja majina). Na sizungumzii ambao hawana qualifications kabisa, hapana.
 
Hili tatizo acha liwe kubwa kwakuwa tunachagua wasio na mission wala vision kutuongoza
 
Hizo interview nyingi ni geresha tu, uhalisia ni kwamba hizo nafasi zilizotangazwa zote zina watu wake tayari.
 
Tupo hapa ukumbi wa Jakaya Kikwete Conference Centre

Tunajadili mabadiliko ya mtaala unaoweza kuandaa wahitimu kujiajili, kuajiliwa katika kukuza uchumi wa kati

Karibu tujadili

Let's be A Job creator rather than being the Job seeker
Acheni kuumiza vichwa,hata ulaya vijana wanatafuta ajira,uzuri ni kwamba serikali za nchi zao,zilijenga viwanda vya kutosha kwahiyo Swala la kuajiliwa sio tatizo.
Sasa hapa unasomesha wahandisi 4000,wakati nchi haina hata uwezo wa kuajili wahandisi 200!
Twendeni tukafuge,tuendeshe boda boda,tufungue saluni za kike,vibanda vya chipsi.
 
Website ya Ajira ni tatizo sana kwenye suala la kuajiri watu.

Kama taarifa inasema mtu awe amesomea Bachelor of Account wewe ukiwa na B.com yako au B.A yako hawakuchukui hats kama kwenye bachelor yako ulistick na Account.
Mkuu sidhani kama upo sahihi,mimi nimesomea BBA kwenye mwelekeo wa uhasibu tena chuo cha private,sijawahi kuomba nafasi ya kada yenye sifa nilizosomea wakaniacha,mara zote nimeitwa, juzi nimeomba za TRA,tax management officer,najua lazima kwenye usaili nitaitwa.

Cha umuhimu uweke taarifa zako za kielimu vizuri tu utaitwa hadi zingine utakuwa unachagua kwenda kwenye usaili au kutokwenda.
 
Tupo hapa ukumbi wa Jakaya Kikwete Conference Centre

Tunajadili mabadiliko ya mtaala unaoweza kuandaa wahitimu kujiajili, kuajiliwa katika kukuza uchumi wa kati

Karibu tujadili

Let's be A Job creator rather than being the Job seeker
But you are employed too...
 
Mkuu sidhani kama upo sahihi,mimi nimesomea BBA kwenye mwelekeo wa uhasibu tena chuo cha private,sijawahi kuomba nafasi ya kada yenye sifa nilizosomea wakaniacha,mara zote nimeitwa, juzi nimeomba za TRA,tax management officer,najua lazima kwenye usaili nitaitwa.

Cha umuhimu uweke taarifa zako za kielimu vizuri tu utaitwa hadi zingine utakuwa unachagua kwenda kwenye usaili au kutokwenda.
Ninachosema ni kutokana na experience ya watu waliokataliwa kwa sababu hiyo, uzuri ni kwamba ajira portal kama umeomba kazi wanatoa mrejesho kama hawakuchukui kwa ajiri ya interview.
Ntamuomba mmoja ya watu waliokataliwa kwenye kazi hizi za National Audit anitumie screenshot ya walichojibu watu wa ajira portal uamini.
 
Tupo hapa ukumbi wa Jakaya Kikwete Conference Centre

Tunajadili mabadiliko ya mtaala unaoweza kuandaa wahitimu kujiajili, kuajiliwa katika kukuza uchumi wa kati

Karibu tujadili

Let's be A Job creator rather than being the Job seeker
Ndio maana mmeona mjikusanye hapo kupata per diem zenu! ndio mme-create job hapo.
 
Ninachosema ni kutokana na experience ya watu waliokataliwa kwa sababu hiyo, uzuri ni kwamba ajira portal kama umeomba kazi wanatoa mrejesho kama hawakuchukui kwa ajiri ya interview.
Ntamuomba mmoja ya watu waliokataliwa kwenye kazi hizi za National Audit anitumie screenshot ya walichojibu watu wa ajira portal uamini.
Kuna kipindi walikuwa wanasisitiza sana waombaji waupdate details za accounta zao kutokana na maboresho waliyoyafanya,inawezekana ni kipindi hicho
 
Leo asubuhi nimemleta mtu hapa UDOM kuhudhuria Usaili wa kazi za Utumishi, hakika watu ni wengi. Binafsi nliyemleta ameitwa kwenye Usaili wa nafasi za National Audit, only 10 kama sio 20 nafasi lkn wameitwa watu sio chini ya 3400, yaani watu hao ndio wapatikane only 20 people. Kibaya zaidi wameitwa watu waliosoma Business Administration lkn wamefika wakaaambiwa hawana sifa.

Sasa unajiuliza kama hawakua na sifa waliwaita vipi? Hizo garama alizotumia kuja hapa Dodoma atalipwa na nani? Kuna dada kwa Mfano katokea Ifakara, anasema kaja kwa malori na kaingia Dodoma saa 8 za usiku then amekataliwa kufanya usaili eti kasoma Business Administration, kwakweli Inauma na inakera mnoo.

Kingine nnaomba kufaham ikiwa watu wa Utumishi wananufaika vip na hizi Interview maana haiingii akilini wanaohitajika kua 10 au 20 unaita watu 3600 kwenye usaili. Yaan hawana njia ya kuwachuja japo basi waitwe 100 ama 200 badala ya kuwapotezea muda hawa vijana tena ambao wengine nauli wamekopa?

Hili swala ni nyeti sana kwa mustakabali wa Taifa, hawa watu waiichoka nchi haiwez kua salama maana ukiangalia idadi ya wanaosaka ajira na nafasi zilizopo kuna shida mahala.

Mwisho niwaombee wanaosumbuka na hizi Interview Mungu Awape Subra
Wanaepuka lawama, mfano SUA ,juzi kuna jamaa wa Kilombero walikuwa wanataka kupata vijana wa Field Kwa njia ya interwiew,sasa kuna wanafunzi waliomba nafasi hiyo hawakuitwa hata kwenye interwiew, unajua lawama zake??. Vijana wale walilaumu Sana kuwa Kwanini hawajawaita?, kwamba si wangewaita tu wakashindwe wenyewe?. Umeona eenhh?, Kwa hiyo walichokifanya utumishi ni sahihi kabisa.
 
Kuna kipindi walikuwa wanasisitiza sana waombaji waupdate details za accounta zao kutokana na maboresho waliyoyafanya,inawezekana ni kipindi hicho
Mimi naongelea sasa hv kwa mtu aliye update tayari taarifa zake na ameapply kazi hizi za juzi tu
 
Wanatafuta siku za usaili ziwe ndefu na nyingi ili wapongezane kwa posho kubwa kubwa...
 
Leo asubuhi nimemleta mtu hapa UDOM kuhudhuria Usaili wa kazi za Utumishi, hakika watu ni wengi. Binafsi nliyemleta ameitwa kwenye Usaili wa nafasi za National Audit, only 10 kama sio 20 nafasi lkn wameitwa watu sio chini ya 3400, yaani watu hao ndio wapatikane only 20 people. Kibaya zaidi wameitwa watu waliosoma Business Administration lkn wamefika wakaaambiwa hawana sifa.

Sasa unajiuliza kama hawakua na sifa waliwaita vipi? Hizo garama alizotumia kuja hapa Dodoma atalipwa na nani? Kuna dada kwa Mfano katokea Ifakara, anasema kaja kwa malori na kaingia Dodoma saa 8 za usiku then amekataliwa kufanya usaili eti kasoma Business Administration, kwakweli Inauma na inakera mnoo.

Kingine nnaomba kufaham ikiwa watu wa Utumishi wananufaika vip na hizi Interview maana haiingii akilini wanaohitajika kua 10 au 20 unaita watu 3600 kwenye usaili. Yaan hawana njia ya kuwachuja japo basi waitwe 100 ama 200 badala ya kuwapotezea muda hawa vijana tena ambao wengine nauli wamekopa?

Hili swala ni nyeti sana kwa mustakabali wa Taifa, hawa watu waiichoka nchi haiwez kua salama maana ukiangalia idadi ya wanaosaka ajira na nafasi zilizopo kuna shida mahala.

Mwisho niwaombee wanaosumbuka na hizi Interview Mungu Awape Subra
Mpe pole Sana mkeo kwa kukutana na swali la khs mambo ya GDP kwny mtihani wa Auditing.

Ndio Tz ya Viwanda hio.
 
ni wakati wakuanza kutumia teknolojia kuinterview watu baada ya kuwaita maelfu ya watu kama tuko zama za ujima.....hivi hao utumishi hawajui kama kuna zoom na tools nyinginezo kama skype nk...
 
Unajua issue ni kwamba tume ya ajira wanakwepa lawama kwa hiyo inabidj wamuite kila ambae ame qualify minimum requirements za nafasi husika ambayo imetangazwa. Si unakumbuka zile enzi ambapo malalamiko yalikua makubwa sana kuwa taasisi na mashirika ya umma yanaajiri kwa kujuana na vimemo?

Hilo ndo likazaa tume ya ajira ambayo sasa ndo inaratibu michakato ya ajira kwa taasisi za uma kwa asilimia kubwa, sasa ili kuondoa au kupunguza hayo malalamiko, inabidi waite tu wote waliokidhi vigezo hata kama wako 10,000 na nafasi ziko 2 tu.

Maana fikiria, kama wametangaza nafasi halafu walio meet vigezo vilivyowekwa wako 2000, mnapunguzaje kupata 20 tu ambao ndo mtawaita interview wagombanie hizo nafasi 5 bila hao wengine 1980 ambao na wao wana minimum requirements zote zilizowekwa kulalamika kuwa ajira ni za kujuana?

Ndio maana wanaamua wawaite wote tuu hata kama wako 10,000 kila mmoja apambanie hizo nafasi 10 zilizopo.
Wakiandaa vigezo vizuri wakati wa shortlisting, hawana haja ya kuita watu wote wale. Sometimes ukijaa hofu ya kuwa challenged unaweza fanya mambo yasiyo na maana
 
ni wakati wakuanza kutumia teknolojia kuinterview watu baada ya kuwaita maelfu ya watu kama tuko zama za ujima.....hivi hao utumishi hawajui kama kuna zoom na tools nyinginezo kama skype nk...
tanzania ina mambo mengi sn kila mtu analake wakisema watumie technologies kuna watu watalalamika hawana vifaa vyakufanya hvy wengine wengine location na networks problem kuna watu wanasoma chuo hadi wanamaliza computer hawajue kutumia
kipindi cha corona watu wameambiwa wajaribu kufundisha kwa technology imeshindikan kila mtu anasema lake

mm naona ni muda wakubadilika tufanye reform kweny mifumo yetu tuendane na technology bila kusubir kwan itasaidia sn itafanya watu wajifunze matumizi kwakua itakua muhimu na sio option tena
tusave cost na time kwa jobseekers
 
Back
Top Bottom