BarajaMkush
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 1,633
- 2,975
Ndugu zangu nalisema hili kwa uchungu sana.
Kama huna Godfather kwenye hizo Taasisi za Serikali, wewe kupata kazi ni kizungumkuti. Watu wanahonga mpaka milioni 5 ili apate kazi Tanesco au TRA au TAWA na anapata, hizo kitu mnaita Usaili kwa kiasi kikubwa ni kuwaridhisha tu wananzengo ili msipige sana kelele. Kuna nafasi ziliwahi kutangazwa na Mamlaka ya Anga walikuwa wanataka watu, kabla hata usaili kufanyika tayari kuna watu wakawa wameshazikava zile nafasi na kazi wameanza.
Kuna kitu nilikuwa nakiona binafsi, mama angeamua sasa tuanze kupunguza idadi ya milima tuliyonayo, vijana tupewe nyenzo na Serikali kwa kukopeshwa, nchi yetu ijengwe kwa barabara za kokoto na Mawe na sio lami tena. Tuanzie Morogoro na Dodoma, tukeleze hiyo milima mpaka ipatikane kokoto na mchanga wa kokoto ndio utumike, eneo litakalopatikana tuanze kulima, mitaji tutakuwa tumeshaipata.
Pia, Mama aruhusu kilimo cha bangi. Amin nakwambia, uvutaji wa bangi mitaani utapungua kwa kasi ya ajabu mno maana kila atafocus kwenye kuiivisha ili apige mpunga wa maana.
Kama huna Godfather kwenye hizo Taasisi za Serikali, wewe kupata kazi ni kizungumkuti. Watu wanahonga mpaka milioni 5 ili apate kazi Tanesco au TRA au TAWA na anapata, hizo kitu mnaita Usaili kwa kiasi kikubwa ni kuwaridhisha tu wananzengo ili msipige sana kelele. Kuna nafasi ziliwahi kutangazwa na Mamlaka ya Anga walikuwa wanataka watu, kabla hata usaili kufanyika tayari kuna watu wakawa wameshazikava zile nafasi na kazi wameanza.
Kuna kitu nilikuwa nakiona binafsi, mama angeamua sasa tuanze kupunguza idadi ya milima tuliyonayo, vijana tupewe nyenzo na Serikali kwa kukopeshwa, nchi yetu ijengwe kwa barabara za kokoto na Mawe na sio lami tena. Tuanzie Morogoro na Dodoma, tukeleze hiyo milima mpaka ipatikane kokoto na mchanga wa kokoto ndio utumike, eneo litakalopatikana tuanze kulima, mitaji tutakuwa tumeshaipata.
Pia, Mama aruhusu kilimo cha bangi. Amin nakwambia, uvutaji wa bangi mitaani utapungua kwa kasi ya ajabu mno maana kila atafocus kwenye kuiivisha ili apige mpunga wa maana.