Sileti upotoshaji, ninacho maanisha hapa ni mkakati gani CHADEMA mmeuweka ili tume huru ipatikane!? Au ni maneno tu ya "tudai tume huru" mara abda kadabla tume huru hii hapa!
Kama hamna mkakati wowote tume huru itapatikana je? Au ni just wishes!
Hii ni Taarifa kutoka kwa John Mrema ambaye ni mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, Ikumbukwe kwamba Chadema iliweka utaratibu kwa wanachama wake wote wanaotaka kugombea nafasi hizi kujitokeza mapema kutia nia kwenye chama chao ili usaili ( Vetting ) juu yao uanze mapema, lengo likiwa ni kutoa nafasi kwa viongozi kuwafahamu kiundani Wagombea hawa kabla ya kuwapa nafasi za kugombea.
Nafasi zote za ubunge na udiwani kwenye majimbo na kata zote nchi nzima, hakuna mtia nia ambaye yuko peke yake, yako majimbo ambayo kuna watia nia ya ubunge kuanzia watatu hadi watano!
Kwa aina ya siasa za Tanzania za sasa Umati huu wa watia nia wa Chadema una maana gani?
# TUENDELEE KUNAWA MIKONO ILI KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA .
Ujumbe umefika..wasiwasi wangu ni wagombea wa cdm kukosa mvuto kwa wapiga kura.
..mara nyingi wagombea wa cdm huzungumza mambo wanayopenda kusikia badala ya kuzungumza mambo ambayo wapiga kura wanapenda kuyasikia.
..Wagombea wa cdm waandaliwe vizuri. Wakumbuke kuwa ili kushinda uchaguzi wanahitaji kura za wana-cdm na wasio wana-cdm.
Mungu ibariki ChademaChadema ndiyo kimbilio la watanzania
ππππ..ccm si mnajisifu kwa kutekeleza yote yanayopigiwa kelele na cdm?
..sasa tekelezeni na hili la tume huru ya uchaguzi maana wengine tunakaribia kuwehuka kutokana na makelele ya cdm.
Waganga njaa tu wote haoHii ni Taarifa kutoka kwa John Mrema ambaye ni mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, Ikumbukwe kwamba Chadema iliweka utaratibu kwa wanachama wake wote wanaotaka kugombea nafasi hizi kujitokeza mapema kutia nia kwenye chama chao ili usaili ( Vetting ) juu yao uanze mapema, lengo likiwa ni kutoa nafasi kwa viongozi kuwafahamu kiundani Wagombea hawa kabla ya kuwapa nafasi za kugombea.
Nafasi zote za ubunge na udiwani kwenye majimbo na kata zote nchi nzima, hakuna mtia nia ambaye yuko peke yake, yako majimbo ambayo kuna watia nia ya ubunge kuanzia watatu hadi watano!
Kwa aina ya siasa za Tanzania za sasa Umati huu wa watia nia wa Chadema una maana gani?
# TUENDELEE KUNAWA MIKONO ILI KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA .
Hili kosa la kulinganisha kila anayewapa changamoto na lowasa linaweza kuwagharimu siku moja.Uchaguzi bado mkuu! Nyalandu hana ubavu wa kushindana na chama dume hata yeye anajua ila kuleni pesa zake tu. Kama alishindwa Lowassa aliyekuwa na mtandao mkubwa nchini kila idara na chamani atakuwa huyu Nyalandu?
Vipi kyela huko..wamejitokeza wengi au?Hii ni Taarifa kutoka kwa John Mrema ambaye ni mkurugenzi wa Itifaki wa Chadema, Ikumbukwe kwamba Chadema iliweka utaratibu kwa wanachama wake wote wanaotaka kugombea nafasi hizi kujitokeza mapema kutia nia kwenye chama chao ili usaili ( Vetting ) juu yao uanze mapema, lengo likiwa ni kutoa nafasi kwa viongozi kuwafahamu kiundani Wagombea hawa kabla ya kuwapa nafasi za kugombea.
Nafasi zote za ubunge na udiwani kwenye majimbo na kata zote nchi nzima, hakuna mtia nia ambaye yuko peke yake, yako majimbo ambayo kuna watia nia ya ubunge kuanzia watatu hadi watano!
Kwa aina ya siasa za Tanzania za sasa Umati huu wa watia nia wa Chadema una maana gani?
# TUENDELEE KUNAWA MIKONO ILI KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA .
Weye ulijua kabla kuwa hawatawashida? Au ndio ZILE ramlitenge zinazongoja matokeo.Mmh!
Camilius na Edo walitangaza nia walishinda?
Tangu nikufahamu leo ndio umeuliza swali la msingi !Vipi kyela huko..wamejitokeza wengi au?
una maana gani ?Waganga njaa tu wote hao
Na wewe ni Ntebhela?Vipi kyela huko..wamejitokeza wengi au?
Kwa hao watu(Edo na Membe) kushindwa ilijulikana mapema kupiga ramli ilikuwa kumpotezea muda mganga tu.Weye ulijua kabla kuwa hawatawashida? Au ndio ZILE ramlitenge zinazongoja matokeo.
The old mzee was right! Look at those CCM junkies mingling and meandering to the sides of the time! πππππ
Tatizo weye ni sadist! Tukifurahi Unalia kitandani kwa ujinga wako. Kunywa komoni ulale unonoπππππHongereni chadema kwa hiyo mmutengeneza mabilioni kwa kuuza fomu kwa watia nia
Kweli mnajua kupiga pesa
Naona mleta mada hadi unachekelea kwa jinsi mlivyovuna pesa kwa umati Wa watia nia.