Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....
img-20160920-wa0176-jpg.403864
swali.dogo kwa mtoa mada hivi kigoma to dar miak ya hamsin walitembea muda gan na saiv wanatembea muda gan? ala kumbuka kuna lugha ya picha mfano tunda la katikati ilikuwa ni kuzini ila ww utaumiza kichwaaaa
 
ishu za Mungu usiwaze waze kibinadamu yy ndio alyekupa uwezo wa kufklia hapo ulpoishia KWA MAPENZI YAKE UNAWEZA KUTOKA BUGURUNI HADI UBUNGO KWA MIAKA 100 NA NJIA UNAIJUA yule si level zetu yuko juu ya yooote uyafkliayo
 
swali.dogo kwa mtoa mada hivi kigoma to dar miak ya hamsin walitembea muda gan na saiv wanatembea muda gan? ala kumbuka kuna lugha ya picha mfano tunda la katikati ilikuwa ni kuzini ila ww utaumiza kichwaaaa
kaah tena kula tunda la kati iwe kuzini

na kuzaliana ilibidi tuzae vip mkuu
 
Majib yaweza kuwa mengi ila lililo sahihi ambalo hata biblia inatamuka ni uasi.... Wana Wa Israel waliasi ndiyo maana wakatumia miaka 4
 
swali.dogo kwa mtoa mada hivi kigoma to dar miak ya hamsin walitembea muda gan na saiv wanatembea muda gan? ala kumbuka kuna lugha ya picha mfano tunda la katikati ilikuwa ni kuzini ila ww utaumiza kichwaaaa
Acha habari zako za upotoshaji. Nani kakwambia kuwa tunda la mti wa katikati ni kuzini? Kumbuka baadaya kuumbwa Adam na Eveh/Hawa waliambiwa na Mwenyeenzi Mungu waende kuzaa na kuijaza dunia. So wangezaana vipi bila kuzini.

Jiongeze...
 
kiimani zaidi..
ngoja niendelee kupitia michango ya wajuao zaidi...
 
Ilikia ni adhabu ya Mungu. Baada ya kuonekana wameanza kinung'unika juu ya Musa kuwatoa Misri. Mungu akakasirika juu yao na kuwapa adhabu yakutofika safari yao. Na hakuna ata mmoja alie weza kufika.
 
Acha habari zako za upotoshaji. Nani kakwambia kuwa tunda la mti wa katikati ni kuzini? Kumbuka baadaya kuumbwa Adam na Eveh/Hawa waliambiwa na Mwenyeenzi Mungu waende kuzaa na kuijaza dunia. So wangezaana vipi bila kuzini.

Jiongeze...
kumbe hujui walizaa kabla.ya kuruhusiwa usikrem
 
kaah tena kula tunda la kati iwe kuzini

na kuzaliana ilibidi tuzae vip mkuu
warizin kabla ya muda kama wafanyavyo vijana wengi tatzo bible syo syo kma ngoswe walitumia luhga ile kupunguza ukari wa maneno.najua wengi hawajui ndyo maana huyu kashangaa miak 40
 
Acha habari zako za upotoshaji. Nani kakwambia kuwa tunda la mti wa katikati ni kuzini? Kumbuka baadaya kuumbwa Adam na Eveh/Hawa waliambiwa na Mwenyeenzi Mungu waende kuzaa na kuijaza dunia. So wangezaana vipi bila kuzini.

Jiongeze...
ndugu kma ambavyo huyu anashangaa miak 40.kuzini walizin kabla ya ruhusa ya mungu najua itachukuw muda kuerewa ila lugha iliyo tumika ni kupunguza ukari wa maneno.bible inatak uturiv kuierewa mfano

pale walipo.kura tunda mungu aliwapa uerewa wa kijikuta uchi wakaona haibu haibu walimwonea nani.wakat walikuw a wao.pekee? kwanin binadam bible inawaita kizazi cha nyoka?

baada ya kura tunda wakawazaa kain na abel ambao walikuwa wanarana wakauwana

kwaiy ndugu turia utaerewa
 
ndugu kma ambavyo huyu anashangaa miak 40.kuzini walizin kabla ya ruhusa ya mungu najua itachukuw muda kuerewa ila lugha iliyo tumika ni kupunguza ukari wa maneno.bible inatak uturiv kuierewa mfano

pale walipo.kura tunda mungu aliwapa uerewa wa kijikuta uchi wakaona haibu haibu walimwonea nani.wakat walikuw a wao.pekee? kwanin binadam bible inawaita kizazi cha nyoka?

baada ya kura tunda wakawazaa kain na abel ambao walikuwa wanarana wakauwana

kwaiy ndugu turia utaerewa
Duu, huo mwandiko wako, fanyia kazi "l na r " kiongozi
 
Ilikia ni adhabu ya Mungu. Baada ya kuonekana wameanza kinung'unika juu ya Musa kuwatoa Misri. Mungu akakasirika juu yao na kuwapa adhabu yakutofika safari yao. Na hakuna ata mmoja alie weza kufika.
Ile nchi waliingia kina nani?
ndugu kma ambavyo huyu anashangaa miak 40.kuzini walizin kabla ya ruhusa ya mungu najua itachukuw muda kuerewa ila lugha iliyo tumika ni kupunguza ukari wa maneno.bible inatak uturiv kuierewa mfano

pale walipo.kura tunda mungu aliwapa uerewa wa kijikuta uchi wakaona haibu haibu walimwonea nani.wakat walikuw a wao.pekee? kwanin binadam bible inawaita kizazi cha nyoka?


baada ya kura tunda wakawazaa kain na abel ambao walikuwa wanarana wakauwana

kwaiy ndugu turia utaerewa

Turia uandike vizuri
 
Tatizo mnaposoma biblia pia muwe mnasoma na qur,an mtapata majibu.mathalani jambo hili kwenye qur,an lipo wazi kwani kwa kukaidi kwao mungu akawapa adhabu ya kukaa jangwani kwa muda mrefu hapo ndipo walipoletewA vyakula kutoka mbinguni na kuwaambia wataishi maisha ya kutangatanga
 
ww Uko Sawa Kabisa Nakubali Kwa Asilimia Zote
Bado haijajitosheleza yaani miezi 4 ilitosha kuiipoteza kizazi chote kilichotoka Misri ,na kukuza kizazi kingine kilichofanikiwa kuingia Israel? Maana maandiko yanasema kizazi chote cha utumwa hakikufanikiwa kuingia kule kasoro watu wachache ambao nao walifika just mpakani. Kwa concept yako nashindwa kujumlisha moja na moja, maana km hivyo wangeingia Israel vichanga vilivyozaliwa ndani ya hiyo miezi 4!
 
Safari ya Wana wa Israel toka Misri hadi nchi ya ahadi walikua wanaongozwa na Mungu mwenyewe kupitia ishara ya wingu likisimama wanasimama hivyo hivyo hata likitembea nao wanatembea, Kizazi hiki kilimkufuru Mungu na adhabu aliyowapa ni wote kuangamia njiani hata Musa mwenyewe aliishia kuiona nchi ya ahadi ila hakufika wote waliotoka Misri waliishia jangwani.
Iweje aruni afike nchi ya ahadi kwani yy hakutokea misri kuambatana na musa ????
 
Nikiwaza na kuwazua hii ya Jews kutumia 40 years kutembea toka Egypt hadi Promised Land (Israel) nashindwa kuelewa watunzi wa Bible walikuwa wanataka watu wawaamini vipi.

How does it make any sense Jews spent 40 years to reach a place only 300 miles away?

Hebu tuangalie hii issue mathematically

Kama Mussa angewaongoza Jews kutembea kilometre 30 kwa siku wangetumia siku 20 tu kufika Israel.

Sasa Jews kutumia 40 years inamaana kwa wastani walikuwa wanatembea 0.041kms pekee kwa siku.

Prophet Moses should have been labeled "lazy".......i can't find good answers to explain what was he doing there in the desert that it took so many years to reach the destination only few miles away?
Possibly! Not certainly. Kutoka kwao misri kulikuwa na sababu zaidi ya moja rejea mwanzo 7;16, lakini hata kikawaida tu ukisoma kama hadithi hao watu hawakusafiri moja kwa moja na hata hawakujua wanakoenda. Mwisho kuna nyakati iliwapasa kupigana vita njiani.
Ukijifikirisha zaidi kibinadamu kwani Mungu hakuwatwaa misri na kuwaweka Israel? Si anasema yote yawezekana kwake..au kuna kitu gani alichokuwa anataka wakione jangwani? Nadhani wangemwamini zaidi kama angefanya hivyo na wangejua kama wasipomtii anaweza kuwarudisha huko.
 
The distance between Egypt and Israel is about 613km.But it took Moses and the Israelites 40 years to complete their journey.On average each day they walked only 43 metres,yes only 43 metres,almost half of what Usain Bolt do in 5 seconds.I just wish if Moses was around to explain this laziness.
C$P Mugabe
 
ndugu kma ambavyo huyu anashangaa miak 40.kuzini walizin kabla ya ruhusa ya mungu najua itachukuw muda kuerewa ila lugha iliyo tumika ni kupunguza ukari wa maneno.bible inatak uturiv kuierewa mfano

pale walipo.kura tunda mungu aliwapa uerewa wa kijikuta uchi wakaona haibu haibu walimwonea nani.wakat walikuw a wao.pekee? kwanin binadam bible inawaita kizazi cha nyoka?

baada ya kura tunda wakawazaa kain na abel ambao walikuwa wanarana wakauwana

kwaiy ndugu turia utaerewa
Mkuu we mkurya nn? Maana unatumia sana herufi r ambapo ilisthaili kuwepo herufi l
 
Back
Top Bottom