Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Umbali kati ya Misri na Israel ni KM 613, lakini wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40

Nadhani '40' ni msemo wa wa-Israel kuonyesha kua ugumu wa Jambo au muda wa kutosha nk! Kuna maelezo mengi sana kwenye Bibilia yanayozungumzia '40 ' hata Yesu alifunga siku arobaini Mchana na usiku, na katika kufunga huko alikataa kabisa ushawishi wa shetani ambae alitaka atumie Mamlaka yake ya Kimungu ili kuondolea mbali shida alizokua anapata kama binaadamu . Bado swali linakua Binaadamu aliwezaje kukaa siku 40 bila kula?
W t
 
Nadhani '40' ni msemo wa wa-Israel kuonyesha kua ugumu wa Jambo au muda wa kutosha nk! Kuna maelezo mengi sana kwenye Bibilia yanayozungumzia '40 ' hata Yesu alifunga siku arobaini Mchana na usiku, na katika kufunga huko alikataa kabisa ushawishi wa shetani ambae alitaka atumie Mamlaka yake ya Kimungu ili kuondolea mbali shida alizokua anapata kama binaadamu . Bado swali linakua Binaadamu aliwezaje kukaa siku 40 bila kula?
T
 
Tambua kwamba swala la waisrael Kutolewa utumwani ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim kkwamba "uzaowako utakaa utumwani kwa miaka 400 kisha nitawakomboa" so hiyo ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim sio kwa waisrael on that time who were tortured in Egypt kwakuwa MUNGU Akiahidi kitu lazma akitimize kwa namna yoyote ile ndomana akawatoa utumwani
Pia kuhusu kuwapitisha safari ya miaka40 ni kwasababu zfuatazo:
1/kizazi kile hakikumjua Mungu wa babazao kina Ibrahim Isaka na Yakobo ni wanamna gani japo walimsikiasikia tu so Mungu alitaka kuwaonyesha uwezo wake ni mkuu kiasi gani ndomana aliigawa bahari mbele yao alishusha mana aliwaletea ndege wa angani ili wale aligeuza maji machungu kuwa matamu alitindisha maj mto yordani aliwapiga maadui zao mbele yao.
2/ alitaka awafundshe jinsi yakumwabudu yeye na jinsi yakumkaribia yeye pia.
3/ilikuwaepusha na njia ya hatari ilojaa maadui zao.

Tambua kwamba swala la waisrael Kutolewa utumwani ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim kkwamba "uzaowako utakaa utumwani kwa miaka 400 kisha nitawakomboa" so hiyo ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim sio kwa waisrael on that time who were tortured in Egypt kwakuwa MUNGU Akiahidi kitu lazma akitimize kwa namna yoyote ile ndomana akawatoa utumwani
Pia kuhusu kuwapitisha safari ya miaka40 ni kwasababu zfuatazo:
1/kizazi kile hakikumjua Mungu wa babazao kina Ibrahim Isaka na Yakobo ni wanamna gani japo walimsikiasikia tu so Mungu alitaka kuwaonyesha uwezo wake ni mkuu kiasi gani ndomana aliigawa bahari mbele yao alishusha mana aliwaletea ndege wa angani ili wale aligeuza maji machungu kuwa matamu alitindisha maj mto yordani aliwapiga maadui zao mbele yao.
2/ alitaka awafundshe jinsi yakumwabudu yeye na jinsi yakumkaribia yeye pia.
3/ilikuwaepusha na njia ya hatari ilojaa maadui zao.

Tambua kwamba swala la waisrael Kutolewa utumwani ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim kkwamba "uzaowako utakaa utumwani kwa miaka 400 kisha nitawakomboa" so hiyo ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim sio kwa waisrael on that time who were tortured in Egypt kwakuwa MUNGU Akiahidi kitu lazma akitimize kwa namna yoyote ile ndomana akawatoa utumwani
Pia kuhusu kuwapitisha safari ya miaka40 ni kwasababu zfuatazo:
1/kizazi kile hakikumjua Mungu wa babazao kina Ibrahim Isaka na Yakobo ni wanamna gani japo walimsikiasikia tu so Mungu alitaka kuwaonyesha uwezo wake ni mkuu kiasi gani ndomana aliigawa bahari mbele yao alishusha mana aliwaletea ndege wa angani ili wale aligeuza maji machungu kuwa matamu alitindisha maj mto yordani aliwapiga maadui zao mbele yao.
2/ alitaka awafundshe jinsi yakumwabudu yeye na jinsi yakumkaribia yeye pia.
3/ilikuwaepusha na njia ya hatari ilojaa maadui zao.
 
Tambua kwamba swala la waisrael Kutolewa utumwani ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim kkwamba "uzaowako utakaa utumwani kwa miaka 400 kisha nitawakomboa" so hiyo ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim sio kwa waisrael on that time who were tortured in Egypt kwakuwa MUNGU Akiahidi kitu lazma akitimize kwa namna yoyote ile ndomana akawatoa utumwani
Pia kuhusu kuwapitisha safari ya miaka40 ni kwasababu zfuatazo:
1/kizazi kile hakikumjua Mungu wa babazao kina Ibrahim Isaka na Yakobo ni wanamna gani japo walimsikiasikia tu so Mungu alitaka kuwaonyesha uwezo wake ni mkuu kiasi gani ndomana aliigawa bahari mbele yao alishusha mana aliwaletea ndege wa angani ili wale aligeuza maji machungu kuwa matamu alitindisha maj mto yordani aliwapiga maadui zao mbele yao.
2/ alitaka awafundshe jinsi yakumwabudu yeye na jinsi yakumkaribia yeye pia.
3/ilikuwaepusha na njia ya hatari ilojaa maadui zao.
The group tew
 
Tambua kwamba swala la waisrael Kutolewa utumwani ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim kkwamba "uzaowako utakaa utumwani kwa miaka 400 kisha nitawakomboa" so hiyo ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim sio kwa waisrael on that time who were tortured in Egypt kwakuwa MUNGU Akiahidi kitu lazma akitimize kwa namna yoyote ile ndomana akawatoa utumwani
Pia kuhusu kuwapitisha safari ya miaka40 ni kwasababu zfuatazo:
1/kizazi kile hakikumjua Mungu wa babazao kina Ibrahim Isaka na Yakobo ni wanamna gani japo walimsikiasikia tu so Mungu alitaka kuwaonyesha uwezo wake ni mkuu kiasi gani ndomana aliigawa bahari mbele yao alishusha mana aliwaletea ndege wa angani ili wale aligeuza maji machungu kuwa matamu alitindisha maj mto yordani aliwapiga maadui zao mbele yao.
2/ alitaka awafundshe jinsi yakumwabudu yeye na jinsi yakumkaribia yeye pia.
3/ilikuwaepusha na njia ya hatari ilojaa maadui zao.
The
 
Tambua kwamba swala la waisrael Kutolewa utumwani ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim kkwamba "uzaowako utakaa utumwani kwa miaka 400 kisha nitawakomboa" so hiyo ilikuwa ni ahadi ya Mungu kwa Ibrahim sio kwa waisrael on that time who were tortured in Egypt kwakuwa MUNGU Akiahidi kitu lazma akitimize kwa namna yoyote ile ndomana akawatoa utumwani
Pia kuhusu kuwapitisha safari ya miaka40 ni kwasababu zfuatazo:
1/kizazi kile hakikumjua Mungu wa babazao kina Ibrahim Isaka na Yakobo ni wanamna gani japo walimsikiasikia tu so Mungu alitaka kuwaonyesha uwezo wake ni mkuu kiasi gani ndomana aliigawa bahari mbele yao alishusha mana aliwaletea ndege wa angani ili wale aligeuza maji machungu kuwa matamu alitindisha maj mto yordani aliwapiga maadui zao mbele yao.
2/ alitaka awafundshe jinsi yakumwabudu yeye na jinsi yakumkaribia yeye pia.
3/ilikuwaepusha na njia ya hatari ilojaa maadui zao.
There's no way to the
 
Tatizo la kukumbatia dini za kimapoieo na kuacha imani zenu za jadi kwa kuwa tu tuliambiwa ni za kishenzi, ni upagani. Haya ndo matokeo yake na ni mojawapo ya sababu za umaskini na ujinga wa waafrika. Kupoteza muda makanisani wakimuomba Mungu awaletee mvua mtera ijae ili umeme uwake, shenzi zetu kabisa, wakati waarabu ni jangwa na wana umeme, wenzetu weuoe wanatimiza wajibu wao na simkumuachia na kumsumbua Mungu kila siku. Watu kwa wiki wanapoteza siju 3 hadi 4 wakisali badala ya kuwajibika. Alafu mnazuia maandamano na kuwaacha watu wakijiongezea umaskini kwa kushindia makanisani. Sisi ni viumbe wa ajabu kweli kweli. Tunashindwa kuelewa kuwa biblia ni masimulizi ya kimapokeo tu na ulimwengu wa sasa kuna ambayo sio valid tena. Bado mtu anaamini kuwa Yesu alikuwa mwana wa Mungu wakati bikiara maaria alipewa ujauzito na askari wa Rumi, Joseph akaamua tu kumtunzia heshima na kumuepusha na adhabu ya kifo. Endeleeni kupoteza muda naenda shambani.
Umeanza vizuri ila umemaliza vibaya kabisa
 
Umeanza vizuri ila umemaliza vibaya kabisa
Sorry kama nimemaliza vibaya, ila kuna references ya nilichokiandika kwenye sentensi yangu ya mwisho, tatizo letu tunasoma biblia tu na kufikiri ndio kila kitu. tujifunze utamaduni wa kusoma. sikukusudia kumkwaza yeyote na tuendelee kusoma.
 
Dar na iringa tu,au kulikuwa na msitu kama WA mabwe pande ikawa issue kuupita
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....
img-20160920-wa0176-jpg.403864

Mariam alienda na yesu Misri na kurudi kipindi alipokuwa mtoto mchanga
Kwa hiyo pointi yako hapo imefafanuliwa na nyakati, kipindi cha Mussa na Yesu kilikuwa tofauti hadi tekinolojia usafiri na njia zilikuwa zimeboreshwa [emoji111]️
 
Ulikua ni umati mkubwa, kuna watoto na mifugo hivyo walitembea taratibu sana na muda mwingine hawakutembea kabisa na muda mwingine walikwemba upande wa tofauti kutafuta malisho
 
Ni hadithi tu hizi za kale..
Suala jengine la kujiuliza..kule Masri pia sio kwao..kule walikua watumwa...na ndo hivo wakaokolewa na Mussa..jee kabla ya kufika Masri walikua wapi....
Hivu Yusuf aliishi wapi
Nouh naye alikua wapi
David ?
Haya mavitu yana confuse....
 
miaka ya zamani nfmi tofauti na sasa.
Mwezi mmoja wa sasa ni sawa na miaka 10 ya zamani.
so hao walitumia Miezi Minne tu kutoka Misri hadi Israel.

Hee maajabu haya ..kwa hiyo zamani mwezi ukikimnia sana ama ? Hesa za miaka ni miezi mzunguko 12 ...
Kwani muda gani ukipita baina ya Mussa na Jesus ?
Na huko Masri walikua watumwa sio kwao..sasa kabla ya kuwapo masri wali kamatiwa wapi kuja kufanya watumwa ?
 
Tunasoma katika bibilia kuwa wana wa israel walichukua muda wa miaka 40 kufika nchi ya ahadi wakitokea utumwani misri. Hapa najiuliza sana. Miaka 40 kutoka hapo kairo kwenda yerusalemu? Mbona ni miaka mingi sana? Au walikuwa hawajui njia? Mimi napata mashaka, miaka waliyokuwa wanahesabu cyo hii tunayohesabu sisi.

Hivi kuna umbali gani kutoka misri (cairo) kwenda israel (yerusalemu)?

====

Yericko Nyerere
Huwa nasoma maandiko yote yaliyombele yangu, yawe ya wasomi na wanamajumui ama ya wajinga na yakijinga, mimi husoma tu. Hii imenipa uwezo na ujasiri wakuyajua mambo mengi yaliyohifadhiwa kwa maandishi,

Lakini kuna jambo hakika kwa miaka mingi nimekuwa nikiumiza akili yangu bila kupata jibu, nimejaribu kuzama kiroho imeshindikana, nimejaribu kuzama kihistoria imeshindikana,

Umbali kati ya Misri na Israel ni km 613, kwamjibu wa Biblia inasema wana wa Israel walisafiri kwa miaka 40, inamana kila siku walisafiri mita 43?

Mafanikio ya binadamu duniani hutazamiwa afikapo miaka 18-40. Inaelezwa kwamba huo ndio mwenendo pia wa mafanikio ya taifa...

Wanamajumui wanasema ukizidi umri huo wewe uwe unatafuta hela ya kula tu, utajiri na hekima utavisikia tu

Wachungaji naomba msaada wa ufunuo hapa hapa....
img-20160920-wa0176-jpg.403864
Walikuwa wanahangaika hapo jangwani baada ya kumwacha Mungu na kuchonga sanamu na kuziabudu,,
 
Umbali kutoka Misri kwenda Israel ni kilomita 623 tu. Lakini Musa na kundi lake (wana wa Israel) walitumia miaka 40 kutembea hadi kufika nchi ya ahadi.

Huu ni wastani wa kilomita 15 kwa mwaka, sawa na kilomita 1.25 kwa mwezi.

Hii ni sawa na mita 42 tu kwa siku, yani umbali nusu ya uwanja wa mpira.

Hii ni sawa na mita 21 kwa masaa 6(tukichukulia kua siku ilikua ni masaa 12 ya mchana pekee na usiku walikua wanalala)

Ni sawa na mita 10.5 kwa masaa 3(yani urefu wa penalti) kwa masaa 3.

Katika hali ya kawaida na katika historia watu wa kale walikua majabali(giants), ambao unbali wa mita 10.4 ni saww na hatua zake 3.

Nashindwa kuelewa, ina maana walikua wanapiga hatua moja kwa saa moja, kitu ambacho hata konokono tu atavuka huo umbali kwa saa moja.

Hizi hesabu nyie mnazielewa?
 
The same old Question among the rats

"Who will tie the cat"
 
Back
Top Bottom