Umbali kutoka usawa wa bahari na tokeo la maisha ya viumbe na uhai

Umbali kutoka usawa wa bahari na tokeo la maisha ya viumbe na uhai

Victor Mlaki

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2016
Posts
4,151
Reaction score
4,277
Umbali kutoka usawa wa bahari una uhusiano mkubwa sana na maisha ya viumbe hai, nadharia mbalimbali zinaonesha asili ya viumbe engi kuwa na ukaribu na maji na hata viumbe wanaoishi kwenye maji.

Kadiri umbali kutoka usawa wa bahari unavyoongezeka aina ya viumbe, mimea n.k hubadilika na uwezekano wa maisha hupungua. Maelezo haya nimeuandika kutokana na ugumu wa upumuaji inayotokana na badiliko la mgandamizo wa hewa.

Hali hii inaonesha uwezekano mkubwa wa asili ya maisha ya viumbe hali kuwa karibu na usawa wa bahari badala ya kinyume chake.
 
Maji ni muunganiko wa hydrogen na oxygen tuanzie hapa kwanza tukiambatanisha na uhai! Viumbe vingi tu haviwezi kuishi kwenye maji ila vinahitaji maji! Na maji tu pekee hayatoshi!

Uhai upo complicated sana maana hautegemei kitu kimoja bali unategemea vitu lukuki Kuna chakula,Kuna hewa kuna ardhi pia n.k sidhani Kama tunapaswa kuangalia kitu kimoja linapokuja swala la uhai
 
Mkuu ukilinganisha formula ya hydrogen na oxygen ili kupata maji ina utara kiasi fulani hivi ila ukiwaka hydrogen na hydroxyl ion pamoja unaiona formula ya maji vizuri zaidi.
Maji ni muunganiko wa hydrogen na oxygen tuanzie hapa kwanza tukiambatanisha na uhai! Viumbe vingi tu haviwezi kuishi kwenye maji ila vinahitaji maji! Na maji tu pekee hayatoshi!

Uhai upo complicated sana maana hautegemei kitu kimoja bali unategemea vitu lukuki Kuna chakula,Kuna hewa kuna ardhi pia n.k sidhani Kama tunapaswa kuangalia kitu kimoja linapokuja swala la uhai
 
Back
Top Bottom