Umbea tu: Kwa wale vijana wa 1982 (Achana na kilaza Bashite) waliopitia UDSM hasa wa mabibo hostel yule mdada alikua anaitwa kitimoto yu wapi nowdays

Umbea tu: Kwa wale vijana wa 1982 (Achana na kilaza Bashite) waliopitia UDSM hasa wa mabibo hostel yule mdada alikua anaitwa kitimoto yu wapi nowdays

Tripo9

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2009
Posts
4,357
Reaction score
3,550
Niko naangalia video music ya Harmonize hapa ya "Falling in love". Kamtumia mke wake yule muitaliano kama Video Queen.

Dah mweupe balaa kanikumbusha yule mdada wa miaka hiyo ya UDSM alikua akivuma sana hasa kwa waliokaa mabibo hostel alikua anataniwa kiti moto. Nadhani alikua Law yule.

Yuko wapi kwa sasa yule dada kwa wajuvi wa mambo ya mujini


Sio mbaya na mimi nikawa mbea kabla mwaka haujaisha huu.
 
Kwanini aliitwa KITIMOTO?
Ngozi yake ilikua kama demu wa kiitaliano wa Hamonaiza (in Magufuli's voice). Lkn yule nadhani atakua alikua albino flani hivi sema wale wenye ngozi nzuri. Wenye pesa zao walikua wanajipigia sisi wengine tulikua ndugu watazamaji. Alivuma sana
NB: kitimoto= mdudu=nguruwe
 
Weka picha. Na sisi simfahamu.
Dah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 unanionea dada. Ngoja watu wakaribu labda watakuja na picha.
Wengine ndi tunajifunza umbea.
 
Sio vixuri kusema wenye pesa zao walijipigia.ina maana huko aliko na mumewe kama anaona hili si litamchefua.
 
Kiti moto bana alikuwa anakesha baa pale asubuhi mpaka kunakucha pale hostel haf kila mtu anambambia ..
Yaani wengine na kozi zetu ngumu msuli mawe ila dah elimu mwana Qqummanina kwa kweli. Na hivo Dar ndio tulikuja kuiona baada ya kuchaguliwa udsm. Tunasomea kijiji halafu unakutana na kina kitimoto wanakula bata tu.
 
Sio vixuri kusema wenye pesa zao walijipigia.ina maana huko aliko na mumewe kama anaona hili si litamchefua.
Huyo atakaemuoa kitimoto asimjue ni mtu wa namna gani atakua anautindio wa ubongo. Au watakua wale wanaojiua au kuwaua wake zao.
Ni sawa yaani useme tusimseme Irene Uwoya kudanga danga kwake maana mume wake Dogo janja atajiskia vibaya. Inakuja hiyo???!!!
 
Back
Top Bottom