Umbea tu: Kwa wale vijana wa 1982 (Achana na kilaza Bashite) waliopitia UDSM hasa wa mabibo hostel yule mdada alikua anaitwa kitimoto yu wapi nowdays

Umbea tu: Kwa wale vijana wa 1982 (Achana na kilaza Bashite) waliopitia UDSM hasa wa mabibo hostel yule mdada alikua anaitwa kitimoto yu wapi nowdays

Hapa sijaelewa. Yaani hii ni kwa vijana waliosoma UD 82, au tuliozaliwa 82 badae tukasoma UD na kuishi hosteli za mabibo?
Mkuu hii code ya Magu akisema vijana wa 1982 anamaanisha waliozaliwa 1982. Akimaanisha pia tuna tamaa sana wazaliwa wa around hiyo miaka.
 
Hizi hostel ni zao la Benjamin William Mkapa, Hayati Rais mstaafu wa awamu ya Tatu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Niko naangalia video music ya Harmonize hapa ya "Falling in love". Kamtumia mke wake yule muitaliano kama Video Queen.

Dah mweupe balaa kanikumbusha yule mdada wa miaka hiyo ya UDSM alikua akivuma sana hasa kwa waliokaa mabibo hostel alikua anataniwa kiti moto. Nadhani alikua Law yule.

Yuko wapi kwa sasa yule dada kwa wajuvi wa mambo ya mujini


Sio mbaya na mimi nikawa mbea kabla mwaka haujaisha huu.
We pimbi 1982 hapakuwepo Mabibo Hostel.
 
Niko naangalia video music ya Harmonize hapa ya "Falling in love". Kamtumia mke wake yule muitaliano kama Video Queen.

Dah mweupe balaa kanikumbusha yule mdada wa miaka hiyo ya UDSM alikua akivuma sana hasa kwa waliokaa mabibo hostel alikua anataniwa kiti moto. Nadhani alikua Law yule.

Yuko wapi kwa sasa yule dada kwa wajuvi wa mambo ya mujini


Sio mbaya na mimi nikawa mbea kabla mwaka haujaisha huu.
Kaolewa na Moderator
 
Back
Top Bottom