Ngozi yake ilikua kama demu wa kiitaliano wa Hamonaiza (in Magufuli's voice). Lkn yule nadhani atakua alikua albino flani hivi sema wale wenye ngozi nzuri. Wenye pesa zao walikua wanajipigia sisi wengine tulikua ndugu watazamaji. Alivuma sanaKwanini aliitwa KITIMOTO?
Kwanini aliitwa KITIMOTO?
Kweli wakati sie tunasoma Mabibo Hostel hazikuwepo kabisa only Main Campus.Yaah ili na sisi wa madongo kuinama tujue kinaga ubaga
Yaani wengine na kozi zetu ngumu msuli mawe ila dah elimu mwana Qqummanina kwa kweli. Na hivo Dar ndio tulikuja kuiona baada ya kuchaguliwa udsm. Tunasomea kijiji halafu unakutana na kina kitimoto wanakula bata tu.Kiti moto bana alikuwa anakesha baa pale asubuhi mpaka kunakucha pale hostel haf kila mtu anambambia ..
Huyo atakaemuoa kitimoto asimjue ni mtu wa namna gani atakua anautindio wa ubongo. Au watakua wale wanaojiua au kuwaua wake zao.Sio vixuri kusema wenye pesa zao walijipigia.ina maana huko aliko na mumewe kama anaona hili si litamchefua.