MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Yaani huu ndo ubaya wa mjini, ukilala dk 1unapitwa balaa, mm nilijua mashati km haya ya tomato aiseee, bas salome ana nyota ya unga maana naskia hata mkurugenz wa singeli fm na yy ni dealer, inasemekana lknkaka si jamaa anauza mashati(unga) ila salome sijui ataficha wapi uso wake hizo clips za video phone sex zikitolewa kama ni kweli jamaa alirekodi
Hivi muhusika wa kwanza kumbe ni muna lkn hawa c hawaelewani na uyo mwanaume ni nanHamissa na Muna inasemekana lakini
Mwanamitindo n hamisa uyo shoga ake sijampata bado na uyo mwanaumeJamani em nifafanulie, huyo mwanamitindo ni nan na shogaake ni nan maana sielewi
Hahahhhh umbea wa code uo [emoji28][emoji28]Mambo ya wanawake bhana, nasikiaga tu umbea nilikuwa sijakumbana nao. Haki ya nani nimetoka 0%, naombeni mnisamehe kwa kuingia bila hodi ngoja niendelee na safari zangu
shoga huyo mlume simjuiHivi muhusika wa kwanza kumbe ni muna lkn hawa c hawaelewani na uyo mwanaume ni nan
Hahahhh eti mashati ya tomatoYaani huu ndo ubaya wa mjini, ukilala dk 1unapitwa balaa, mm nilijua mashati km haya ya tomato aiseee, bas salome ana nyota ya unga maana naskia hata mkurugenz wa singeli fm na yy ni dealer, inasemekana lkn
Lkn nakuhusu muna apo mbona haiji hao c maadui na apo kwenye umbea ni hamisa na shoga ake fatilia vzr banashoga huyo mlume simjui
napika kwanza[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ntarudi tena!
HAHAHAHAHAHAHAHA KARIBU UBUYUMambo ya wanawake bhana, nasikiaga tu umbea nilikuwa sijakumbana nao. Haki ya nani nimetoka 0%, naombeni mnisamehe kwa kuingia bila hodi ngoja niendelee na safari zangu
Sina hamuHAHAHAHAHAHAHAHA KARIBU UBUYU
Haki ya nani mjini kuna mamboHahahhhh umbea wa code uo [emoji28][emoji28]
ndo maana mwanzo aligoma kumpeleka maana hawaelewaniLkn nakuhusu muna apo mbona haiji hao c maadui na apo kwenye umbea ni hamisa na shoga ake fatilia vzr bana
huku kuna wenyeweSina hamu
HamissaJamani em nifafanulie, huyo mwanamitindo ni nan na shogaake ni nan maana sielewi
Umbea kipajiMambo ya wanawake bhana, nasikiaga tu umbea nilikuwa sijakumbana nao. Haki ya nani nimetoka 0%, naombeni mnisamehe kwa kuingia bila hodi ngoja niendelee na safari zangu
Huyo milly the house gal mi ubuyu yke mibovu na inakuwaga ime expire hana ungaunga story zingine anatunga ili page yke ifanye na the shaderoom ya marekani ila hamna kitu wenzake wanafanya story zao ki makini na hawatoi habari za kutungaView attachment 405728 HAYA SASA TUSUBIRIE HIZO CLIPS ZA HIYO VIDEO PHONE SEX,JAMANI HIZI PERUVIAN HAIR ZITAFANYA WATU HATA WALE VINYESI#Salome
Ah ndo mana siku hiz kila akipost picha yuko southHamissa
haterHuyo milly the house gal mi ubuyu yke mibovu na inakuwaga ime expire hana ungaunga story zingine anatunga ili page yke ifanye na the shaderoom ya marekani ila hamna kitu wenzake wanafanya story zao ki makini na hawatoi habari za kutunga
eeeehhh!yuko huko anamfurahisha mjelajela!!Ah ndo mana siku hiz kila akipost picha yuko south