Umbea wa town kutoka kwa Muke ya Simbaaa (Zari)

Mi mwenyew uwa sinaga timu yeyote,

Ila naamin kwenye kitu inaitwa self defense, ukipgwa na wewe piga mwenzio hadi ashindwe kuinuka

Nadhan huyo alo msema mwenzie alikuwa ana ji defend tu
Nimemuelewa, ndo maana nikasema kuna watu huwa wanaboa, but tuangalie tusiishie kukufuru Mungu
 
Alibeba sana ngada na kuna Ivan na pia hana tofauti na ma ubaya coz wote ni mama huruma a.k.a expensive sluts ila Zari kwa kazi ingine ni baby factory na anaishi kwa nguvu ya child support
Ngoja timu yake ikusikie....wenyewe wanavyomuabudu na kumuona milionea...... wakati hata nyumba anayoisho sasa ni ya kawaida
 
TEHETEHE PUNGUZA JAZBA...... HUJASKIA STORY YA UPANDE WA PILI. ALIFANYWA NINI MPAKA AKAJIBU
hajafanywa chochote yule mzee mwenzetu!wamemfananisha na tu!ndo ugomvi wenyewe!that woman is insecure,hajiamini ht kidogo km anakunya nje!!
 
yule mmama hao watoto!wanne km kazaa malaika!unaweza zaa wakawa mashoga na strippers!!kutwa IG na snapchat!
 
Jamani Kwa mtazamo wangu
Ingawa sipo upande wa zari wala wema. Siwezi kufananisha uzuri, mvuto ,urembo , umri na majukumu ya kifamilia ya Zari kwa Wema .
Nitakua namuonea wema.
Na kumkosea heshima Zari.
Hivyo basi Zari atafutiwe mtu mwingine wa kufananishwa nae
Au kupambanishwa nae.
Like wise Wema atafutiwe wa saizi yake.
Ili asipwelepwete Kwa Zari.
 
Thread closed thank you
 
Ana mabwana kibao sio wa simba peke yake. Huwatendei haki wengine Katunzy, ........
 
TEHETEHE punguza jazba mwanamama .........
 
haha kila nikikuona nacheka tuu ...
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ujue mi nashangaa anaye semwa mbona ana fahamika

Halafu mbona wenye mapungufu wengi tuu husemwa tena humu humu jf lakin sija wahi ona watu wana sema hujafa huja umbika

Why this tuu!!?
nashangaa watu wanajumlisha na kutoa ..... na kumleta muumba wetu snapchat wakati huyu mwwnamke ana maasi.ya kuchokonoa mimba... mtoto wangu natamani asijeona picha ya huyu role model wao..
 
"Mtoto" ni kitu very sensitive kwa Mwanamke, mnoooo, unless hujawahi kukutana na wanaotafuta watoto

Oops sijaover-react, ndo tone tu ya kuongea hadi maandishi yangu
wlitumwa atoe mimba nawafaham wa kuwaoneo huruma hata mm ni mwanamke lakin huyu kila leo yupo na wanume tofuti hat hicho kizazi chenyewe kimejixhokea akome
 
Kwa hiyo akisemwa wema, ndo sio kufuru au? Mbona hata Wema kumsema tiffah sijui sio mzuri, alichambwa vizuri tu. Me sinaga mambo ya kindezi ya team, nimeongea kile nilichokiona kwa mtazamo wangu ni sawa
sio kwa sababu sababu za ugumba wake ni kumkufuru mungu period
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…