Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Nimemuelewa, ndo maana nikasema kuna watu huwa wanaboa, but tuangalie tusiishie kukufuru MunguMi mwenyew uwa sinaga timu yeyote,
Ila naamin kwenye kitu inaitwa self defense, ukipgwa na wewe piga mwenzio hadi ashindwe kuinuka
Nadhan huyo alo msema mwenzie alikuwa ana ji defend tu