Umbea wa town kutoka kwa Muke ya Simbaaa (Zari)


Umemaliza kabisa huo ndio ukweli
 
kwa povu hili hapa JIWE limempata mhusika. Pole dada
 

Nami nafikiri hicho ndio kilichomaanishwa, labda tu akaharibu alipoweka 'hoes' ikapoteza hata chochote alichodhamiria.....
 
Mi mwenyew uwa sinaga timu yeyote,

Ila naamin kwenye kitu inaitwa self defense, ukipgwa na wewe piga mwenzio hadi ashindwe kuinuka

Nadhan huyo alo msema mwenzie alikuwa ana ji defend tu
Unatetea ujinga mkuu kwa alichoandika zari kaingilia Kazi ya Mungu, bora hata angesema "Msinifananishe na Malaya wenye Matako ya kichina na fake life ....."kuliko kuingiza kizazi ambacho ni neema ya Mungu aliyopewa
 
Umeongea vizuri mkuu [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] watu wanacheza na Mungu
 
Kwani haya majigambo aliyo andika Zari huwa hayasemwi na wengine?
 
I hate to see this,yaani huyu Mganda anakuja ktk ardhi yetu anawatukana dada zetu na nyinyi mnamshangilia tu? This woman need to learn a lesson, not.
Dada zako wakina nani? Wanao tukanwa ni wanao mtukana.
 
Diamond kamuoa au wanaishi tu? Hata wakichokana sheria wala haihusiki kila MTU na hamsini na ndo mana anajaribu kumpa attention domo kwake ili asisepe na inavoonekana yeye ndo alimtongoza domo[emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
haha hata hao unaowaita mabinti wanakaribia meno posi[emoji37] ukihesabu vidole ilikupayta miaka yao wanapaswa kuwa na familia sio blabla..
 
Unatetea ujinga mkuu kwa alichoandika zari kaingilia Kazi ya Mungu, bora hata angesema "Msinifananishe na Malaya wenye Matako ya kichina na fake life ....."kuliko kuingiza kizazi ambacho ni neema ya Mungu aliyopewa
Self defense haija wahi kuwa ujinga ndugu yangu
Dont go soft on ur enemy, hit 'em hard or else uta aibika wewe

Nadhan lilikuwa ni jiwe sahihi kabsa kwa mtu alo chokozwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…