Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,869
- 14,501
Kudadeki gamondi Hana huruma full mkokoKikosi kitakachoanza leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudadeki gamondi Hana huruma full mkokoKikosi kitakachoanza leo
Ihairishwe tu sisi hatuna noma hata kesho tuchezeKwa hali ya huu uwanja kuna kila dalili hii mechi ikaahirishwa
Ule uwanja ni sawa na uwanja wa michezo ya Farasi au mabanda ya ng'ombe za kimasai.Ihairishwe tu sisi hatuna noma hata kesho tucheze
Ntashangaa kama Yanga wataingiza timu ikacheze kwenye hili panda la ng'ombeUle uwanja ni sawa na uwanja wa michezo ya Farasi au mabanda ya ng'ombe za kimasai.
Nimeuona mkuuUle uwanja ni sawa na uwanja wa michezo ya Farasi au mabanda ya ng'ombe za kimasai.
Nadhani unawajua hao jamaa wakitaka lao litimieSijui Tff wametumia kigezo gani kuruhusu uwanja wa namna hii kutumika kwenye mechi za ligi kuu.TFF HOVYO KABISAA[emoji706][emoji706]
Sisi ndo Yangaa!💛💚
Mh wewe dada 😭Kwa jinsi ninavyoipenda Yanga, mwanaume atakayenioa lazima awe Yanga vinginevyo abadili timu anifate
...💚💛🤸...!
Saa kumi jioniSaa ngapi
Mimi nipo Yanga,Kwa jinsi ninavyoipenda Yanga, mwanaume atakayenioa lazima awe Yanga vinginevyo abadili timu anifate
...💚💛🤸...!
Lakini kwa hili TFF na bodi ya ligi wameonesha ni kama taasisi inayoongozwa na watu wasio na maarifa na utimamu wa akili. Jana mechi imeahirishwa sababu ya mvua na uwanja kujaa maji. Halafu wanapanga tena mchezo upigwe leo utafikiri mvua zimeshaacha kunyesha vile.Saa ngapi