Umeanguka ewe Bandari salama, u wapi uzuri wako?

Umeanguka ewe Bandari salama, u wapi uzuri wako?

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Yesu Kristo Messiah alipowafundisha wanafunzi wake kusali, ninaquote moja ya kifungu kimoja katika Sala hiyo kisemacho,

"USITUTIE MAJARIBUNI, BALI UTUOKOE NA YULE MWOVU, AMEN."

Kwa kimombo,

DO NOT LEAD US INTO TEMPTATION, BUT RESQUE US FROM EVIL ONE, AMEN.

Rabbi Yeshua amachiah alitufundisha katika Sala hiyo kuwa tumwombe Mungu asituingize MAJARIBUNI, lakini ikitokea ameruhusu majaribu juu yetu, tupate mlango wa Kutokea tuepushe NAFSI zetu. Mji unaenda kuangamia Ili kupona ni LAZIMA tujue kwanini Mungu anakwenda kuuadhibu mji na wakaao ndani yake.

Sababu kuu ya ADHABU inayokuja ni Mungu kuuadhibu miungu ya nchi iliyomwaga Damu ya watu wake na inaendelea Hadi sasa kupitia IBADA za sanamu na makafara yafanywayo na wakazi, viongozi wa Taifa Hilo ambalo Mungu alilichagua na anaona wivu mkuu juu yake, hivyo ADHABU haiepukiki.

Njia pekee ya kujiokoa ni kutubu na kuacha DHAMBI na kuokoka. Lakini njia ya temporary ni kuhama mji, njia hii ni ya Zima moto maana baada ya mji huo, itafuata miji mingine Kwa ADHABU mbalimbali. Njia nzuri ni kujitakasa Ili ADHABU ikija isikupate.

Ukifuatilia utube, Kuna wimbi la jumbe mbalimbali zitolewazo na mchanganyiko wa manabii wa uongo na WA Kweli,

Jumbe hizo zote zinadokeza juu ya Dunia nzima kuingia katika msimu mpya. Mwandishi ni mmoja wa watu waliojaliwa uwezo wa kutambua Nabii wa KWELI na WA UONGO.

Tanzania ni Nchi ya AGANO, Israel ni Nchi ya AHADI.

Msimu mpya ulioamriwa tangu July 2020, unakuja kutengeneza mfumo mpya na Taifa jipya ambalo ndio litakalokuwa kimbilio la mataifa yote ULIMWENGUNI, Taifa Hilo ni NYIKANI. TANGANYIKA.

Ili kujenga nyumba imara, lazima ibomolewe nyumba ya zamani Ili ijengwe nyumba mpya.

Tumeshuhudia majanga katika Nchi mbalimbali ULIMWENGUNI while Nchi yetu ikiwa salama, upendeleo huo Si wa Bahati mbaya.

Sababu Mungu anatupenda sana, lazima tuadhibiwe sana lakini ni Kwa Nia njema. Tutapitia njia ngumu kama Taifa Ili mbeleni, NURU kuu ije kuangazia Ulimwengu mzima waje kuona ukuu wa Mungu juu ya nchi hii.

BANDARI SALAMA.

Mji huu ndio mji wenye Karibia Kila kabila Kutoka pande zote za Nchi, na ndio mji mkubwa tegemeo Kwa mikoa yote nchini, kupigwa Kwa Bandari salama, ni kuadhibiwa Kwa Nchi nzima.

Tetemeko kubwa Kutokea baharini, litayatikisa maji na kutengeneza dhoruba kubwa itakayoleta Mafuriko makubwa juu ya mji karibu wote wa Bandari salama. Madhara ya kiuchumi, kisiasa, kijamii nk nk yatakuwa makubwa hivyo wakazi wa mji huo wanashauriwa kuhama haraka iwezekanavyo.

MAJIRA YA KUTOKEA DHAHAMA HIYO YAMETAJWA ILI WANA WA MUNGU YASIWAPATE.

TAREHE: (1-20).

MWEZI: APRIL hadi MAY.

MWAKA: 2024.

ANGALZO: Wajinga watachukua hatua, lakini Werevu watasubiri yatokee Ili waseme Fulani alisema.

Tembelea U-Tube, Sikiza Nabii mbalimbali za watumishi wa Mungu walioonyeshwa juu ya yajayo juu ya Dunia na Taifa letu.
TENGWA TV ya Mwl Bilomo Tengwa, UNYAKUO TV ya Nabii Boniface Victor, Nabii Sanga nk nk.

Mwombe Mungu akuthibitishie manabii Hawa na jumbe hizi ikiwa zinatoka kwake au la.

UBARIKIWE. Amen
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

BANDARI SALAMA IPIGWE NA MUNGU kwa kuwa tu Rais ni mzanzibari?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hivi mnakwenda shule kusomea "upumbavu"?!!!

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hampendi demokrasia.

Hampendi ustaarabu.

Mnapenda kuburuzwa.

Hivi toka awamu ya 4 ya utawala wa JMT iishe....awamu ya 5 haikuingia mkataba hata 1?!!![emoji15][emoji15]

Kama iliingiwa mikataba....je hao wanazuoni wa kisekula na kidini walikuwa wapi kuiulizia?!!!

Hatukuwaona kuulizia mkataba wa wale waarabu wa Misri(ARAB CONTRACTORS).....

Si tu kuulizia....bali kuhoji kwanini haukupelekwa BUNGENI kwa mjadala wa wazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hii inadhihirisha UNAFIKI WA KIWANGO CHA JUU CHA HAO WAJIITAO WANAZUONI

#KataaUnafiki
#KataaUzushi
#SayNoToRacism
#SayNoToBigotry

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mtaani huku wanasema kuna njia ya kupitia huko huko kujiokoa.

Hivi vita ikija watakimbilia wapi?

Muda ni mwalimu mzuri.
 
Hampendi demokrasia....

Hampendi ustaarabu....

Mnapenda kuburuzwa...
Naona umekaa seat ya mbele kabisa.

Nimetoa angalizo na tahadhari sawasawa Ujumbe wa Mungu kupitia manabii wake.

Mungu hajawahi ruhusu jambo Fulani baya au zuri litokee bila kuwataarifu Manabii wake ambao ni kinywa Cha Mungu duniani.

Binafsi nimekuwa nikiota ndoto nikiona tumewekwa kati, chini ya ulinzi na wanajeshi waliotuzunguka ni majirani zetu, ngozi nyeusi wenzetu.

Naamini wapo wanaoendelea kuchukua hatua ya kujitakasa na kuomba REHEMA Ili Malaika yule atakapopita kuangamiza awapite, awanusuru.
 
Kabla ya Kutokea Tetemeko na Mafuriko, inaanza NJAA.

Mwaka 2022 ulitokea ukame mkali sana uliopelekea Hadi Ruaha mkuu kukauka, Ile ilikuwa ni Ishara ya yajayo,

Ghafula baada ya muda Fulani, mvua zilianza kunyesha mfululizo na tukapata mazao ya kutosha.

Neema Ile ilikuja Ili Nchi Itunze chakula kama enzi za Yusuph akiwa Misri. Makosa yalifanyika, Ushauri wa waonaji ulipuunzwa na badala ya kutunza vyakula ghalani, viliuzwa nje na kusababisha mfumuko wa Bei.

Mwaka huu 2023, chakula kinaonekana kuwa kingi, bt usizubae, nunua vyakula tunza ghalani.

Njaa inayokuja ni ya kipindi kirefu hivyo pesa haitokusaidia Bali chakula ghalani, inflation itakuwa kubwa sana.

Tunza chakula,

Narudia, nunua mazao ya vyakula tunza ghalani.

Angalizo: Wajinga watachukua hatua, lakini wasomi na wajuaji watapuuza na kusubiri yatokee.

Mungu ibariki TANZANIA.

Amen.
 
Ikiwa Serikali imefunga mipaka na kuiamuru wizara kununua vyakula tonnes laki 5, before, Serikali haikuwahi kununua shehena kubwa kiasi hiki.

Sirikali imeona yajayo kupitia vyanzo vyake, wewe hujastuka tu?

Mwana wa Mungu, nunua chakula tunza, tuendako Si kuzuri!!

Miaka hii Saba kuanzia 2023-2030 hakuna RANGI hatutaona.

Tusubiri.
 
Majira na wakati wa Kutokea Kwa dhahama hiyo kubwa Bandari salama imetajwa Ili Wana wa Mungu waepuke.

Tarehe ni (1 Hadi 20).

Mwezi ni (April-May ).

Mwaka ni 2024.

Safety zone ni kuanzia KIBAHA Jumba la ndege na kuendelea.

Mwana wa Mungu ukiweza hamisha makazi Polepole sababu muda ulobaki ni mchache.

NB: Wajinga watachukua hatua, lakini wajuaji/werevu wa Dunia watapuuza na kusubiri itokee, ndo maana tarehe husika na siku imefichwa.

Amen
 
TMA imeonya juu ya er ninyo, Bado hamstuki?
 
Yesu Kristo Messiah alipowafundisha wanafunzi wake kusali, ninaquote moja ya kifungu kimoja katika Sala hiyo kisemacho,

"USITUTIE MAJARIBUNI, BALI UTUOKOE NA YULE MWOVU, AMEN."

Kwa kimombo,

DO NOT LEAD US INTO TEMPTATION, BUT RESQUE US FROM EVIL ONE, AMEN.

Rabbi Yeshua amachiah alitufundisha katika Sala hiyo kuwa tumwombe Mungu asituingize MAJARIBUNI, lakini ikitokea ameruhusu majaribu juu yetu, tupate mlango wa Kutokea tuepushe NAFSI zetu. Mji unaenda kuangamia Ili kupona ni LAZIMA tujue kwanini Mungu anakwenda kuuadhibu mji na wakaao ndani yake.

Sababu kuu ya ADHABU inayokuja ni Mungu kuuadhibu Miungu ya nchi iliyomwaga Damu ya watu wake na inaendelea Hadi sasa kupitia IBADA za sanamu na makafara yafanywayo na wakazi, viongozi wa Taifa Hilo ambalo Mungu alilichagua na anaona wivu mkuu juu yake, hivyo ADHABU haiepukiki.

Njia pekee ya kujiokoa ni kutubu na kuacha DHAMBI na kuokoka. Lakini njia ya temporary ni kuhama mji, njia hii ni ya Zima moto maana baada ya mji huo, itafuata miji mingine Kwa ADHABU mbalimbali. Njia nzuri ni kujitakasa Ili ADHABU ikija isikupate.

Ukifuatilia utube, Kuna wimbi la jumbe mbalimbali zitolewazo na mchanganyiko wa manabii wa uongo na WA Kweli,

Jumbe hizo zote zinadokeza juu ya Dunia nzima kuingia katika msimu mpya. Mwandishi ni mmoja wa watu waliojaliwa uwezo wa kutambua Nabii wa KWELI na WA UONGO.

Tanzania ni Nchi ya AGANO, Israel ni Nchi ya AHADI.

Msimu mpya ulioamriwa tangu July 2020, unakuja kutengeneza mfumo mpya na Taifa jipya ambalo ndio litakalokuwa kimbilio la mataifa yote ULIMWENGUNI, Taifa Hilo ni NYIKANI. TANGANYIKA.

Ili kujenga nyumba imara, lazima ibomolewe nyumba ya zamani Ili ijengwe nyumba mpya.

Tumeshuhudia majanga katika Nchi mbalimbali ULIMWENGUNI while Nchi yetu ikiwa salama, upendeleo huo Si wa Bahati mbaya.

Sababu Mungu anatupenda sana, lazima tuadhibiwe sana lakini ni Kwa Nia njema. Tutapitia njia ngumu kama Taifa Ili mbeleni, NURU kuu ije kuangazia Ulimwengu mzima waje kuona ukuu wa Mungu juu ya nchi hii.

BANDARI SALAMA.

Mji huu ndio mji wenye Karibia Kila kabila Kutoka pande zote za Nchi, na ndio mji mkubwa tegemeo Kwa mikoa yote nchini, kupigwa Kwa Bandari salama, ni kuadhibiwa Kwa Nchi nzima.

Tetemeko kubwa Kutokea baharini, litayatikisa maji na kutengeneza dhoruba kubwa itakayoleta Mafuriko makubwa juu ya mji karibu wote wa Bandari salama. Madhara ya kiuchumi, kisiasa, kijamii nk nk yatakuwa makubwa hivyo wakazi wa mji huo wanashauriwa kuhama haraka iwezekanavyo.

MAJIRA YA KUTOKEA DHAHAMA HIYO YAMETAJWA ILI WANA WA MUNGU YASIWAPATE.

TAREHE: (1-20).

MWEZI: APRIL hadi MAY.

MWAKA: 2024.

ANGALZO: Wajinga watachukua hatua, lakini Werevu watasubiri yatokee Ili waseme Fulani alisema.

Tembelea U-Tube, Sikiza Nabii mbalimbali za watumishi wa Mungu walioonyeshwa juu ya yajayo juu ya Dunia na Taifa letu.
TENGWA TV ya Mwl Bilomo Tengwa, UNYAKUO TV ya Nabii Boniface Victor, Nabii Sanga nk nk.

Mwombe Mungu akuthibitishie manabii Hawa na jumbe hizi ikiwa zinatoka kwake au la.

UBARIKIWE. Amen
Naona vipeperushi vinasambaa, Chukua tahadhari. choice variable.
 
Enyi wakazi wa Bandari salama hamjasikia ya Morocco na Lybia?

Imeripotiwa baadhi ya vijiji vizima vizima, nyumba, watu na vilivyo juu ya nchi vyote vimesombwa na kumezwa Baharini!!
 
Yesu Kristo Messiah alipowafundisha wanafunzi wake kusali, ninaquote moja ya kifungu kimoja katika Sala hiyo kisemacho,

"USITUTIE MAJARIBUNI, BALI UTUOKOE NA YULE MWOVU, AMEN."

Kwa kimombo,

DO NOT LEAD US INTO TEMPTATION, BUT RESQUE US FROM EVIL ONE, AMEN.

Rabbi Yeshua amachiah alitufundisha katika Sala hiyo kuwa tumwombe Mungu asituingize MAJARIBUNI, lakini ikitokea ameruhusu majaribu juu yetu, tupate mlango wa Kutokea tuepushe NAFSI zetu. Mji unaenda kuangamia Ili kupona ni LAZIMA tujue kwanini Mungu anakwenda kuuadhibu mji na wakaao ndani yake.

Sababu kuu ya ADHABU inayokuja ni Mungu kuuadhibu Miungu ya nchi iliyomwaga Damu ya watu wake na inaendelea Hadi sasa kupitia IBADA za sanamu na makafara yafanywayo na wakazi, viongozi wa Taifa Hilo ambalo Mungu alilichagua na anaona wivu mkuu juu yake, hivyo ADHABU haiepukiki.

Njia pekee ya kujiokoa ni kutubu na kuacha DHAMBI na kuokoka. Lakini njia ya temporary ni kuhama mji, njia hii ni ya Zima moto maana baada ya mji huo, itafuata miji mingine Kwa ADHABU mbalimbali. Njia nzuri ni kujitakasa Ili ADHABU ikija isikupate.

Ukifuatilia utube, Kuna wimbi la jumbe mbalimbali zitolewazo na mchanganyiko wa manabii wa uongo na WA Kweli,

Jumbe hizo zote zinadokeza juu ya Dunia nzima kuingia katika msimu mpya. Mwandishi ni mmoja wa watu waliojaliwa uwezo wa kutambua Nabii wa KWELI na WA UONGO.

Tanzania ni Nchi ya AGANO, Israel ni Nchi ya AHADI.

Msimu mpya ulioamriwa tangu July 2020, unakuja kutengeneza mfumo mpya na Taifa jipya ambalo ndio litakalokuwa kimbilio la mataifa yote ULIMWENGUNI, Taifa Hilo ni NYIKANI. TANGANYIKA.

Ili kujenga nyumba imara, lazima ibomolewe nyumba ya zamani Ili ijengwe nyumba mpya.

Tumeshuhudia majanga katika Nchi mbalimbali ULIMWENGUNI while Nchi yetu ikiwa salama, upendeleo huo Si wa Bahati mbaya.

Sababu Mungu anatupenda sana, lazima tuadhibiwe sana lakini ni Kwa Nia njema. Tutapitia njia ngumu kama Taifa Ili mbeleni, NURU kuu ije kuangazia Ulimwengu mzima waje kuona ukuu wa Mungu juu ya nchi hii.

BANDARI SALAMA.

Mji huu ndio mji wenye Karibia Kila kabila Kutoka pande zote za Nchi, na ndio mji mkubwa tegemeo Kwa mikoa yote nchini, kupigwa Kwa Bandari salama, ni kuadhibiwa Kwa Nchi nzima.

Tetemeko kubwa Kutokea baharini, litayatikisa maji na kutengeneza dhoruba kubwa itakayoleta Mafuriko makubwa juu ya mji karibu wote wa Bandari salama. Madhara ya kiuchumi, kisiasa, kijamii nk nk yatakuwa makubwa hivyo wakazi wa mji huo wanashauriwa kuhama haraka iwezekanavyo.

MAJIRA YA KUTOKEA DHAHAMA HIYO YAMETAJWA ILI WANA WA MUNGU YASIWAPATE.

TAREHE: (1-20).

MWEZI: APRIL hadi MAY.

MWAKA: 2024.

ANGALZO: Wajinga watachukua hatua, lakini Werevu watasubiri yatokee Ili waseme Fulani alisema.

Tembelea U-Tube, Sikiza Nabii mbalimbali za watumishi wa Mungu walioonyeshwa juu ya yajayo juu ya Dunia na Taifa letu.
TENGWA TV ya Mwl Bilomo Tengwa, UNYAKUO TV ya Nabii Boniface Victor, Nabii Sanga nk nk.

Mwombe Mungu akuthibitishie manabii Hawa na jumbe hizi ikiwa zinatoka kwake au la.

UBARIKIWE. Amen
Wakazi wa Bandari salama wote .mmearifiwa kuhama,

Sababu, mji huo utaangamia wote.

Wote maana yake ni wote.
Emanueli misalaba
 
Yesu Kristo Messiah alipowafundisha wanafunzi wake kusali, ninaquote moja ya kifungu kimoja katika Sala hiyo kisemacho,

"USITUTIE MAJARIBUNI, BALI UTUOKOE NA YULE MWOVU, AMEN."

Kwa kimombo,

DO NOT LEAD US INTO TEMPTATION, BUT RESQUE US FROM EVIL ONE, AMEN.

Sababu kuu ya ADHABU inayokuja ni Mungu kuuadhibu Miungu ya nchi iliyomwaga Damu ya watu wake na inaendelea Hadi sasa kupitia IBADA za sanamu na makafara yafanywayo na wakazi, viongozi wa Taifa Hilo ambalo Mungu alilichagua na anaona wivu mkuu juu yake, hivyo ADHABU haiepukiki.
Ni miungu, na si Miungu. Kuna Mungu tu na miungu ila hakuna Miungu
 
Acha ije

Ova
Ije sio?

Hizo ni rasha rasha tu,

Ili ikate, miungu yote ya bagamoyo na bandari salama lazima iteketee Ili Mungu mkuu wa Majeshi atawale juu ya nchi yetu nzuri Nyikani.
 
Mnazidi kukumbushwa kuhama wakazi wa Bandari salama.

Hali Tete ilianzia kuonekana katika Ulimwengu wa Roho, manabii wakatumwa kuleta taarifa,

Hivi sasa dalili zote zinaonekana katika Ulimwengu wa mwili na TMA inawaarifu.

Mimi nilipouliza Kwa Mungu, alinithibitishia kupitia maono.

Msijesema hamkuambiwa,

Majuto Huwa ni mjukuu.
 
Nawasihi hameni haraka mji huo,

Uharibifu unakuja😪😪
 
Back
Top Bottom