Umebahatika Kuliona Bango jipya Mjini...😅😅 Mpira ni Afya na Burudani (Friends Of Mwarabu tumeweka bango)

Umebahatika Kuliona Bango jipya Mjini...😅😅 Mpira ni Afya na Burudani (Friends Of Mwarabu tumeweka bango)

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
20231125_085353.jpg


Ikikuuma Natuma na Video kabisa 🤣🤣🤣🤣
Kulia kupokezana
 
Wala halikeri. Kero na maumivu ni kufungwa na mtani, na maumivu hayo yanaondoka kwa mtani kumfunga mtani wake na sio kusaidiwa na Waarabu.

Halafu mbona hazikufika 5 ili kuwe na mlinganyo?
 
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁Uzi wangu pendwa wa muda wote hapa Jf,ukitoa kimasihara.
Huwezi amini Jana sikulala Kwa furaha niliyokuwa nayo...Beluzidadiii
 
Wala halikeri. Kero na maumivu ni kufungwa na mtani, na maumivu hayo yanaondoka kwa mtani kumfunga mtani wake na sio kusaidiwa na Waarabu.

Halafu mbona hazikufika 5 ili kuwe na mlinganyo?
Ina kera e🤣🤣
Unajikaza. Tu
 
Naomba kujua gharama ya kuweka bango Kwa siku....duh mpira umechezwa jana mpaka saa sita usiku,...saa 12 asubuhi bango tayari.....watu wanaela ya kuenjoy jamani.
 
Wala halikeri. Kero na maumivu ni kufungwa na mtani, na maumivu hayo yanaondoka kwa mtani kumfunga mtani wake na sio kusaidiwa na Waarabu.

Halafu mbona hazikufika 5 ili kuwe na mlinganyo?
Sisi watani zetu ni waarabu na sio nyie[emoji28]
 
Naomba kujua gharama ya kuweka bango Kwa siku....duh mpira umechezwa jana mpaka saa sita usiku,...saa 12 asubuhi bango tayari.....watu wanaela ya kuenjoy jamani.
Nawe unaamini ni kweli? Inaonekana u poyoyo sana wewe kama unaamini hili.
 
Back
Top Bottom