Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namna gani wanasiasa wanavyotumia Dini na Michezo kutupumbaza ili wao waweze kutimiza maono yao
Utakuwa nyuki wa mama wewe umepigwa kwenye mshonoJf imebadilika kutoka home of great thinkers to home of udaku.

, Sasa kuna udaku gani hapo?Utakuwa nyuki wa mama wewe umepigwa kwenye mshono, Sasa kuna udaku gani hapo?
ni mpumbavu huyo na ujuaji mwingiUtakuwa nyuki wa mama wewe umepigwa kwenye mshono, Sasa kuna udaku gani hapo?
Kwani siasa uchwara sio udaku, alaf ile inshu ya Christina Shusho sio dini udaku?Utakuwa nyuki wa mama wewe umepigwa kwenye mshono, Sasa kuna udaku gani hapo?
Naona umekuja na makasiriko yako tena huku🤣🤣ni mpumbavu huyo na ujuaji mwingi
nimeacha kukujibu . Jibu la mpumbavu ni ukimya🤣🤣🤣 sasa unstaka tuonekane wazazi walipeleka nguruwe shule?Naona umekuja na makasiriko yako tena huku🤣🤣
Kwakuwa hapo kwenye hiyo katuni ameongelewa msanii? Mkuu embu kuwa serious bwana🤣🤣😆Kwani siasa uchwara sio udaku, alaf ile inshu ya Christina Shusho sio dini udaku?
You are nothing but a looser mkuu huna hoja, huna elimu, hujui unataka nini maishani. Na most of all utaishia kuwa mdhaifu kifikra.nimeacha kukujibu . Jibu la mpumbavu ni ukimya🤣🤣🤣 sasa unstaka tuonekane wazazi walipeleka nguruwe shule?
Unatakiwa kujua lugha ya picha rafiki sio mpk uone kitu kwenye mchoro.Kwakuwa hapo kwenye hiyo katuni ameongelewa msanii? Mkuu embu kuwa serious bwana🤣🤣😆
tafuta waliopo seriously na maisha wakina maxcence mello, wakina pascal, wakina mama Amon kama wana muda wakujibizana kama unavyofanya wewe mpumbavu 😂😂You are nothing but a looser mkuu huna hoja, huna elimu, hujui unataka nini maishani. Na most of all utaishia kuwa mdhaifu kifikra.
Pole sana🤣🤣tafuta waliopo seriously na maisha wakina maxcence mello, wakina pascal, wakina mama Amon kama wana muda wakujibizana kama unavyofanya wewe mpumbavu 😂😂
Kaangalie vijana kama kina scott wenye miradi ya mamilion500 kama wapo na muda kama wako fukara wewe😂😂.
Sikutaka kukujibu sababu kamas zimejaa kichwani . Umejawa na ego tu. Hii dunia tu na hata maandiko yako ni reflections ya nn unapitia
Siku njema dogo
pole pia kwako😂😂Pole sana🤣🤣
Hakika leo ilikua siku mbaya ila umenifurahisha sana mkuu.
Siku njema pia.
Ndiyo lengo lao kuuNamna gani wanasiasa wanavyotumia Dini na Michezo kutupumbaza ili wao waweze kutimiza maono yao
Zamani nilikua namfatilia ila niliona anawapumbaza sana mashabiki zake, hawaoni makosa yake na akikosolewa anablock.unamfuatilia lakini?