Uchaguzi 2020 Umefaidika nini na CCM -Jipime tokea 2015 tu hata leo uipe tena kura yako

Uchaguzi 2020 Umefaidika nini na CCM -Jipime tokea 2015 tu hata leo uipe tena kura yako

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Muulize na jirani yako ni kitu gani binafsi kimembadilikia katika maisha yake tokea aichague CCM 2015 hadi leo,kiasi ya kwamba anafuraha ya kuipa tena CCM kura yakemfaida gani ya kujivunia yeye kama yeye mpiga kura wa kawaida tu,kama hakuna mabadiliko tokea 2015 hadi leo kwanini asiipeleke kura yake kwa Tundu lissu na kutoa kipimo cha miaka mitano ijayo ?

Maana kuichagua CCM miaka nenda miaka rudi upo palepale inamaana hako kachama hakana faida na wewe ni kujisumbua tu wanafaidika wenye viti na meza wewe mlala hoi huna unalolipata zaidi ya kunyanyaswa na makodi yasio na kichwa wala miguu,ni wakati sasa wakuachana na tabia ya kuipa kura ccm wakati hakuna wala hupati faida.
Mishahara haipandi,vyeo kwa wakubwa tu walewale wanahamishwa huku wakipelekwa huku,wewe usioonekana na chama hiki achana nacho.
 
Hakuna maendeleo kwaa mpiga kura yaliyobadilisha maisha japo chembe ,upo vilevile kama miaka kumi iliyopita.
 
Ndugu yangu wa karibu amestaafu ni mwaka wa tatu huu anasubiri mafao. Hata nauli ya kurudi kwao hajapewa. Nyumba anayoishi ni ya kupanga inabidi mke wake apike mama ntilie ili waweze kuishi. Bado wanadaiwa 20,000 kitambulisho cha mjasiliamali.
 
Mababu wa nchi (zote) waliotutangulia walizijenga nchi kwa nguvu, uchovu, jasho, damu na hata vifo ili tu nchi ziwe imara.
Kuweni imara katika kujenga nchi.
Nchi hujenga nchi.
Hujenga nchi ikitumia watu.
Watu hufurahia matunda kutika nchi.
Nchi iliyojengwa.
Nchi hutazama watu kama vifaa.
Vifaa vya ujenzi.
Nchi hisikitika kupoteza vifaa.
Vipoteavyo bila kujenga.
Nchi Linda vifaa.
Tumia vifaa.
Jenga nchi.
Nchi ni Mtu Mkubwa hutumia watu kubaki MTU AISHIYE Mpamka Anguko kuu.
Hataa aangukapo huinuka Tena!
Rasilimali Jenga nchi.
 
Ccm imeturudisha nyuma mnoo mbaya zaidi imelijengea taifa uoga Haifa kurudi inabidi ikataluwe kabisa kila Kona ya nchi.
 
Mgombea wetu wa CCM akiwa Zanzibar anawaeleza Wazanzibar kuwa wasiondoke uwanjani hapo maana akimaliza hotuba bado Kuna show kabambe kutoka kwa wasanii na watamuona nae akicheza.... Wazenji nao viburi wakaondoka wakati anazungumza. Aisee!
 
Ccm lichama la hovyooo, la Majambazi , na maslahi binafsi. Halina maana. Wanaokitetea ni kwa sababu wananufaika na hawawezi kuishi nje ya lichama hilo la kihuni.
Wengi wanaitetea ccm bila sababu yoyote ya nsingi yaani wanasumbuliwa na umbumbu.

Ni wale wanadhani Tanzania ni ccm bila ccm na Tanzania haipo
 
Marehemu bibi yangu mpaka anafariki alijua Nyerere ni cheo cha kuongoza nchi. Alikua anafukuza “Nyerere wa sasa ni nani”?
 
Wengi wanaitetea ccm bila sababu yoyote ya nsingi yaani wanasumbuliwa na umbumbu.

Ni wale wanadhani tanzania ni ccm bila ccm na tanzania haipo
Halafu Mbumbumbu hawa wapo katika makundi yote, wasomi na wasiokuwa na elimu wote wanasumbuliwa na umbumbumbu.
 
Hamna kitu ilichonifanyia zaidi imenikandamiza tu,
Twende na Lissu ,
 
Jiulize mwanachi wa Arusha,Mbeya,Kawe,Iringa mjini,Mbeya mjini wamefaidika nini kuwa na wabunge wa Chadema??
 
Mafanikio ya aina yake ninayoyapenda CCM imekaba mianya ya vibaraka kuingia magogoni. Kwa hiyo Lisu hatakanyaga pale. Kwangu mimi hayo ni mafanikio kuntu. Amani itatamalaki.
 
Kwenye majimbo yaliyo chini ya upinzani wamefaidika na nini ,tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom