Muulize na jirani yako ni kitu gani binafsi kimembadilikia katika maisha yake tokea aichague CCM 2015 hadi leo,kiasi ya kwamba anafuraha ya kuipa tena CCM kura yakemfaida gani ya kujivunia yeye kama yeye mpiga kura wa kawaida tu,kama hakuna mabadiliko tokea 2015 hadi leo kwanini asiipeleke kura yake kwa Tundu lissu na kutoa kipimo cha miaka mitano ijayo ?
Maana kuichagua CCM miaka nenda miaka rudi upo palepale inamaana hako kachama hakana faida na wewe ni kujisumbua tu wanafaidika wenye viti na meza wewe mlala hoi huna unalolipata zaidi ya kunyanyaswa na makodi yasio na kichwa wala miguu,ni wakati sasa wakuachana na tabia ya kuipa kura ccm wakati hakuna wala hupati faida.
Mishahara haipandi,vyeo kwa wakubwa tu walewale wanahamishwa huku wakipelekwa huku,wewe usioonekana na chama hiki achana nacho.
Maana kuichagua CCM miaka nenda miaka rudi upo palepale inamaana hako kachama hakana faida na wewe ni kujisumbua tu wanafaidika wenye viti na meza wewe mlala hoi huna unalolipata zaidi ya kunyanyaswa na makodi yasio na kichwa wala miguu,ni wakati sasa wakuachana na tabia ya kuipa kura ccm wakati hakuna wala hupati faida.
Mishahara haipandi,vyeo kwa wakubwa tu walewale wanahamishwa huku wakipelekwa huku,wewe usioonekana na chama hiki achana nacho.