kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 914
Mkuu ndiyo maana ulifeli hesabu yaani huna akili hata kidogo ya kujibu hoja uliyoulizwa?
Ningefeli hesabu ningekuwa nasubiri hela mara moja kwa mwezi kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ndiyo maana ulifeli hesabu yaani huna akili hata kidogo ya kujibu hoja uliyoulizwa?
Ningefeli hesabu ningekuwa nasubiri hela mara moja kwa mwezi kama wewe
Achague chama gani sasa?. Chama cha Mbowe faru John?. Upuuzi mtupu, hicho ndio chama watanzania kunufaika au viongozi kunufaika?. Huu ndio ukweli, Chadema ni Moja ya chama hovyo kabisa kuwahi Kutokea Tanzania. Mnajimwambafai bure, huku mkijua hamna la kuwapa watanzania zaidi ya kunemesha matumbo yenu na mabeberu zenu.Sizungumzii habari ya Chadema nipo na maisha ya mwananchi wa kawaida sana,amefaidika nini,amebadilika nini zaidi ya kupigika na hali ya maisha ,hakuna faida aliyoipata katika utawala wa CCM,anayohaki ya kutafuta sehemu nyingine ni uhuru wake lakini sio kulazimishana,mara hii akichagua chama kingine nini kosa lake,hatumii daraja wala si mpanda ndege hayo hayamuhusu wakati kula yake ni ya shida ,hajafaidika na chochote na utawala wa ccm.
Harafu unamwambia chagua CCM unawazimu.
Tundu Lissu ana jazba sana. Hawezi kuongoza serikali. Hata Chadema walimkataza kugombea uenyekiti sababu ya jazba.Muwe mnatoa reason
Kukwepa kodi ni kukosa uzalendoSijafaidika chochote maana hata kwenye biashara wateja wanakimbià napo TRA wanasumbua. Aaaaagh
Hamna cha kukwepa wala nini. Unaletewa assessment ya miaka mitano nyuma kwamba unatakiwa ulipe kitu hukijui na hapo utoe % kadhaa ndio usikilizwe. Si upumbavu huoKukwepa kodi ni kukosa uzalendo
Hivi tunakuwaje na raisi akiongea kiingereza unatamani ujifiche chini ya meza...Tundu Lissu hana sifa za kuongoza Tanzania
Muulize na jirani yako ni kitu gani binafsi kimembadilikia katika maisha yake tokea aichague CCM 2015 hadi leo,kiasi ya kwamba anafuraha ya kuipa tena CCM kura yakemfaida gani ya kujivunia yeye kama yeye mpiga kura wa kawaida tu,kama hakuna mabadiliko tokea 2015 hadi leo kwanini asiipeleke kura yake kwa Tundu lissu na kutoa kipimo cha miaka mitano ijayo ?
Maana kuichagua CCM miaka nenda miaka rudi upo palepale inamaana hako kachama hakana faida na wewe ni kujisumbua tu wanafaidika wenye viti na meza wewe mlala hoi huna unalolipata zaidi ya kunyanyaswa na makodi yasio na kichwa wala miguu,ni wakati sasa wakuachana na tabia ya kuipa kura ccm wakati hakuna wala hupati faida.
Mishahara haipandi,vyeo kwa wakubwa tu walewale wanahamishwa huku wakipelekwa huku,wewe usioonekana na chama hiki achana nacho.