Uchaguzi 2020 Umefaidika nini na CCM -Jipime tokea 2015 tu hata leo uipe tena kura yako

Uchaguzi 2020 Umefaidika nini na CCM -Jipime tokea 2015 tu hata leo uipe tena kura yako

Ningefeli hesabu ningekuwa nasubiri hela mara moja kwa mwezi kama wewe

Mkuu nilikufuatilia humu nina kujua vizuri sema sheria za humu zina ni bana kutoa majina !Miongoni mwa waliokuwa vilaza ni wewe !Trust me isinge kuwa umalaya wako wa kisiasa ungekuwa na maisha magumu sana !
 
Sizungumzii habari ya Chadema nipo na maisha ya mwananchi wa kawaida sana,amefaidika nini,amebadilika nini zaidi ya kupigika na hali ya maisha ,hakuna faida aliyoipata katika utawala wa CCM,anayohaki ya kutafuta sehemu nyingine ni uhuru wake lakini sio kulazimishana,mara hii akichagua chama kingine nini kosa lake,hatumii daraja wala si mpanda ndege hayo hayamuhusu wakati kula yake ni ya shida ,hajafaidika na chochote na utawala wa ccm.

Harafu unamwambia chagua CCM unawazimu.
Achague chama gani sasa?. Chama cha Mbowe faru John?. Upuuzi mtupu, hicho ndio chama watanzania kunufaika au viongozi kunufaika?. Huu ndio ukweli, Chadema ni Moja ya chama hovyo kabisa kuwahi Kutokea Tanzania. Mnajimwambafai bure, huku mkijua hamna la kuwapa watanzania zaidi ya kunemesha matumbo yenu na mabeberu zenu.
 
Muulize na jirani yako ni kitu gani binafsi kimembadilikia katika maisha yake tokea aichague CCM 2015 hadi leo,kiasi ya kwamba anafuraha ya kuipa tena CCM kura yakemfaida gani ya kujivunia yeye kama yeye mpiga kura wa kawaida tu,kama hakuna mabadiliko tokea 2015 hadi leo kwanini asiipeleke kura yake kwa Tundu lissu na kutoa kipimo cha miaka mitano ijayo ?

Maana kuichagua CCM miaka nenda miaka rudi upo palepale inamaana hako kachama hakana faida na wewe ni kujisumbua tu wanafaidika wenye viti na meza wewe mlala hoi huna unalolipata zaidi ya kunyanyaswa na makodi yasio na kichwa wala miguu,ni wakati sasa wakuachana na tabia ya kuipa kura ccm wakati hakuna wala hupati faida.
Mishahara haipandi,vyeo kwa wakubwa tu walewale wanahamishwa huku wakipelekwa huku,wewe usioonekana na chama hiki achana nacho.

Jirani yangu ameniambia hiki ndicho amefaidi

17799444_758413644326245_444389592114475851_n.jpg
 
Nimemiliki leseni 3 za uchimbaji wa dhahabu Pasi na kutoa rushwa jambo ambalo lilishindikana katika ya wala iliyopita kwani nilitakiwa nitoe hongo ya milioni 20 ili nipate wakati sasa nimelipa 2,850,000 kwa ajili ya application & licence fee...

Kunicha n'tuvengee,Likaswa n'tulowe
 
Back
Top Bottom