Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taarifa yako Afrika Kusini ndio nchi pekee iliyoko kwenye top 10 ya nchi zenye dhahabu nyingi Duniani kwa Afrika. Tanzania ni nchi kama ya 20 huko.Trump ametufundisha jambo kwasasa fukuza wazungu kwenye migodi nasisi tuchimbe dhahabu zetu wenyewe fukuza kwenye gesi uko yaaani ubaya ubwela tu kila mahali tukae wenyewe fukuza kwenye viwanda vya cement
Shida nchi nyingi za Africa Zina dependence mentalityTrump ametufundisha jambo kwasasa fukuza wazungu kwenye migodi nasisi tuchimbe dhahabu zetu wenyewe fukuza kwenye gesi uko yaaani ubaya ubwela tu kila mahali tukae wenyewe fukuza kwenye viwanda vya cement
Unaelewa investment na technology inayohitajika?Trump ametufundisha jambo kwasasa fukuza wazungu kwenye migodi nasisi tuchimbe dhahabu zetu wenyewe fukuza kwenye gesi uko yaaani ubaya ubwela tu kila mahali tukae wenyewe fukuza kwenye viwanda vya cement
Katika race zote mzungu ana uafadhari hata kama ana mambo yake.Labda kwa msaada wa watu wa China, wewe kama mtanzania huna uwezalo, hayo madini huwezi hata kuyachimba na hata ukiyachimba huna teknolojia yoyote zaidi ya kununua mitambo na machine toka kwa hao weupe.
Without wazungu Africans would still be in stone age, probably!
Huyu kaandika uzi wake kimuhemko zaidiMmejiandaje? Beberu ana akiba ya madini kuliko yaliyoko ardhini na bado yeye ndo mchimbaji, mnunuzi yeye. Mgunduzi na mtafiti nani?
Mihemuko imekuwa kama kilema Africa mpaka kwa viongozi. Ni sawa sawa na kupanda train na usijue umefika kituo gani kwa muda uliopo na wala hujui kituo cha kushukia. Mzungu anakimbia na anaishi wakati ujao. Sisi waafrica tunaishi nyuma ya wakati na hatuna habari tunasogoa tuu ktk kila jambo. Mzungu siku zote anatafuta solution wakati sisi tunatengeneza matatizo. Mfano mzuri ni nchi zinazouza na kugundua mafuta, mzungu aliona hana mafuta akaamua kutafuta njia nyingine na akagundua kuwa umeme unaweza kuendesha mitambo. Na usikute muuza mafuta hana habari kuwa kuna siku biashara yake inaweza kukosa soko au mauzo kupungua kwa kiasi kikubwa.Huyu kaandika uzi wake kimuhemko zaidi