Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Simply watanzania walikuwa bado hawajapevuka, hasa katika kuyaelewa mapungufu yaliyopo, na kipi walichokuwa wakikihitaji kwa wakati ule!
Just simply case!
Namshauri ajitokeze ajipange vizuri aje na hoja za kimsingi ili lawama juu yake zimuondoke, na hatimaye apumue!
Pia soma:
Kwanini Jakaya Kikwete haipiganii katiba mpya aliyotaka kuawaachia watanzania wakati wa utawala wake?
Just simply case!
Namshauri ajitokeze ajipange vizuri aje na hoja za kimsingi ili lawama juu yake zimuondoke, na hatimaye apumue!
Pia soma:
Kwanini Jakaya Kikwete haipiganii katiba mpya aliyotaka kuawaachia watanzania wakati wa utawala wake?