Mshangai
JF-Expert Member
- Feb 16, 2008
- 468
- 1,086
Nadhani kwa Manara kuwa msemaji wa klabu kama Simba wakati umemtupa mkono asukuriwe kwa aliyofanya na sasa apewe jukumu hilo mtu atakaye kwenda kisasa.
Uswahili swahili wa Kariakoo level hiyo imeshapitwa na sasa tuwe kama klabu zingine kubwa barani Afrika. Kama Haji Manara kafikia level ya kina Steve Nyerere kuzungumzia followers wa Instagram na Facebook kama kipimo cha maendeleo, basi kuna kasoro kubwa sana.
Manara bado ana mentality ya kuwa Simba kuifunga Yanga ndio mafanikio ya klabu yetu, hata kama itafungwa matano matano huko nje ni sawa tu.
Msemaji wa Simba SC, Haji Manara
Sent using Jamii Forums mobile app
Uswahili swahili wa Kariakoo level hiyo imeshapitwa na sasa tuwe kama klabu zingine kubwa barani Afrika. Kama Haji Manara kafikia level ya kina Steve Nyerere kuzungumzia followers wa Instagram na Facebook kama kipimo cha maendeleo, basi kuna kasoro kubwa sana.
Manara bado ana mentality ya kuwa Simba kuifunga Yanga ndio mafanikio ya klabu yetu, hata kama itafungwa matano matano huko nje ni sawa tu.
Msemaji wa Simba SC, Haji Manara
Sent using Jamii Forums mobile app