Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Hata moja mkuu hakuna ,yaani Ile chumba kimoja Cha hizo tofali. Na majuzi hapa nimekoswakoswa kutolewa vitu nje Kodi inasumbuaWe mwenzetu una nyumba ngapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata moja mkuu hakuna ,yaani Ile chumba kimoja Cha hizo tofali. Na majuzi hapa nimekoswakoswa kutolewa vitu nje Kodi inasumbuaWe mwenzetu una nyumba ngapi
Hukuwa na plan ya kumla how come unatumia bill yote hiyo 🤣🤣🤣🤣Sikua na plan ya kumla mkuu NAKAZIA
Wife material wamebaki mama zetu tuu
Nipe noKuna mmoja ananisumbua hadi najuta kufahamiana naye.
Kwa akili kama za mtoa post kuwafikia Wazungu ni kazi sana... Unalalamika 200K wakati bill imekuja 350K na umelipa? Wewe ni kab-ila gani mbona mshamba mshamba hivyo?Mambo ni vipi?
Weekend ilopita kuna manzi mmoja hv alinishangaza sana, ipo hivi
Huyu manzi nafahamiana naye tu ni kitambo tulibadilishanaga namba ila hatukuwa intouched zaid ya kuview status lkn sio kuchat wala call.
Hio siku nikaona amepost anakula msuli anasoma nikamuuliza hujamaliza chuo tu? Akanambia bado ndo story zikaa
Sasa nisiwe domo zege na niwe smart kivipi wakati hela nalipa? Mbona masharti tena? Si natumia hela yangu kwani napewa bure???Yaan bill yote hii ulilipa na wakat hyo hela unakula mbususu kama 7 hv na chenchi inabaki...ukiwa na 50k unalamba mbususu high classic kabsa
Note;usiwe domo zege na uwe smart!
Kwa akili kama za mtoa post kuwafikia Wazungu ni kazi sana... Unalalamika 200K wakati bill imekuja 350K na umelipa? Wewe ni kab-ila gani mbona mshamba mshamba hivyo?
Mbona huna msimamo? Mara huna nyege naye, halafu mna-negotiate bei? Plan yako ilikuwa ni ipi?
Unalalamika nini sasa? Bro wewe ni ke-n-ge?(samahani ila hujaonesha msimamo, na hujaweka wazi ulihitaji nini).
Hahahahah umezingua mno kaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kenge baba yako[emoji28]
Hahahahah umezingua mno kaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ndio mambo sasa, demu anasoma chuo gani?Mkuu sahvi najilia bure tu, nakula anytime nikiwa horn naipigia nakula for free
Mkuu acha kuwaza michangaVipi tofali ngapi hapo. Si amemaliza chumba kimoja kwa tofali hizo.
Wewe Ni boya nambari one hapa Tz....Yani T.O wa malofaNakubali mkuu kuna fala anakula bure. Ila niliweka heshima sahv daily ananicheki afu sina muda nae sasa
Wewe Ni boya nambari one hapa Tz....Yani T.O wa malofa