Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
- #101
Wakuu nielewesheni yaani mtu unampa 150k au 100k kwa siku moja unahesabu mpunga wote huo??
Hahahaha htr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu nielewesheni yaani mtu unampa 150k au 100k kwa siku moja unahesabu mpunga wote huo??
Tofali zake unajenga shimo la choo ha ha haVipi tofali ngapi hapo. Si amemaliza chumba kimoja kwa tofali hizo.
📌📌📌Kuna mwenzio anamla bure huyo tena anaipeleka mwenyewe. Na hapo baada kukuacha na majuto yako kampelekea mtu bure huko kitaa!
Kawaida wakati kuna wana wanaomba hela ya kula???Mkuu sometimes unachange campani tu ila kawaida mbna
Mademu zero brain [emoji3447]Wadada wengine sijui akili wanazipeleka wapi?mtu amekuita mfurahi kidogo mara unabeba kundi la watu kama unaenda fiesta????na isitoshe ni mtu mnafahamiana,ok haitoshi mnafakamia vitu kama kwenu huwa hamli(je ni ushamba au ni umjini mi ndo sijui) hivi imagine hata kama ni mimi labda kuna kitu kizuri nilikuwa nafikiria and for the first day unabehave hivo hivi ntakuconsider tena zaidi ya kuona nawe hamnazo???
Kweli inaskitisha?Hahahaha! Inasikitisha sana
Wewe wako si wale Papa kuwasha ......atushangai ukimla lazima ujitibu gono......😂😂😂😂😂Mimi sitoi pesa kwa manzi, nakula buree tu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]haha mim nawatorokaga tu lodge naamka saa kumi na moja au kumi alfajiri. akiamka anakuta ten tu ya nauli juu ya meza.
Sumu kivipi? Si ndo wanapush pesa iende kitaa ikasaidie shughuli za maendeleoBill 350! Wanawake ni sumu ya maendeleo
Ana kifafa?Yaani mie wakati nahitaji kuoa,nilikuwa namuuliza demu maswali mawili: unanipenda ama unanipenda ili nikuoe.
Binti Kama anakupenda atakupa tu k yake muda wote unaohitaji,siku akaolewa na mwingine anakuambia njoo uniage mwezi ujao naolewa.yaani hapo unayeaga ndiye unayependwa Ila anayeoa amependwa aoe ampe social capital ama status tu kuwa na yeye ni Mrs somebody.
Nishawahi kukaa na binti mmoja bana ni nesi marangu hospital afu kwao ni boma. Yaani tulitumia naye hela ikaisha bana afu sikuwa poa mfukoni hata ni washkaji walinidhamini nikaenda. Hela ilipoisha mpaka ya kwake alianza kuwakamua wale wote inaonekanaga wanamshobokeaga. Walituma hela tukazidi ku extend siku za kukaa hapo njia panda ya himo. Ningemuoa sema Kuna shida moja kiokoo ya kurithi ya kikwao nikakwepa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Kuna kadem ka malaya hivi nlipewa namba na jamaa yangu baada ya kukaona hakaeleweki, ila kazuri first class, alikutana nako sinza car wash. Basi bwana nikakaita one day nikale eti kananiambia lodge huwa hakaingii nitoke nlipo niende hoteli kubwa na nimwandalie elf 100 kulala hadi asubuhi. Nikamwambia nitakupa 30 njoo ulale hapa nlipo kama huwezi chapa lapa. Hakuja, mm nikampa jamaa yangu namba yeye ni mtaalam wa vitoto vijinga kama hivi. Jamaa akafikia lodge ya gharama elf 60 akakaita kakaliwa 2 days akaondoka na elf 20 kwa maana ya 10 kwa siku na matusi juu
Hapana ,ama unatengeza Kodi nini
we acha kutubabaisha...we una vyumba vingapi mpk sasa? 😬Vipi tofali ngapi hapo. Si amemaliza chumba kimoja kwa tofali hizo.
Huyo ni muuzaji ila yeye hajipangi barabaraniMambo ni vipi?
Weekend ilopita kuna manzi mmoja hv alinishangaza sana, ipo hv..
Huyu manzi nafahamiana nae tu ni kitambo tulibadilishanaga namba ila hatukuwa intouched zaid ya kuview status lkn sio kuchat wala call.
Hio siku nikaona amepost anakula msuli anasoma nikamuuliza hujamaliza chuo tu? Akanambia bado ndo story zikaanza nikampa code atokee maeneo akakubali. Moja ya viwanja maarufu pale masaki.
Akanicheki anaomba kuja na best zake wa2 nikamwambia nataka uwe comfortable njoo nao. Mida ya sa4 hivi akatokea aneo la tukio mapema tu akiwa na best zake wakiwa wamependeza sana, nikamwambia awe huru na best zake waagze wanachotaka. Kama unavojua manzi wa chuo kizazi wakaagza cocktail mara jameson, wakaagza chakula nk. Bila kusahau snap zilihusika sana me nawacheki tu wanavyo tapatapa.
Bili kuja ikasoma kama 350k nikamwambia manzi kwa kumzingua nataka tuondoke wote akasema wapi? Nikamwambia tukalale hotelini akanambia you can’t have me for free..[emoji119]. Nikamwambia bill yote hii bado unilipishe?. Sio unanitunuku? ofcoz sikua na nyege nae wala nini, nikamwuliza unataka sh. Ngap? Jibu lake likafanya pombe zote zitoke kichwani[emoji23][emoji23].
Dada bila aibu akasema anataka 200,000 taslimu, nikamwambia acha ungeseleee kumkaziaa kidogo akasema 100k top.
Yule dada nilikua namwonaga mstaarabu sana kumbe ni muuza mbususuu aisee kweli kazi iendeleee, mwanaume kama huna pesa kula manzi ni ngumu sana kwa zama hizi.
Bila picha zao sitaamini!Mambo ni vipi?
Weekend ilopita kuna manzi mmoja hv alinishangaza sana, ipo hv..
Huyu manzi nafahamiana nae tu ni kitambo tulibadilishanaga namba ila hatukuwa intouched zaid ya kuview status lkn sio kuchat wala call.
Hio siku nikaona amepost anakula msuli anasoma nikamuuliza hujamaliza chuo tu? Akanambia bado ndo story zikaanza nikampa code atokee maeneo akakubali. Moja ya viwanja maarufu pale masaki.
Akanicheki anaomba kuja na best zake wa2 nikamwambia nataka uwe comfortable njoo nao. Mida ya sa4 hivi akatokea aneo la tukio mapema tu akiwa na best zake wakiwa wamependeza sana, nikamwambia awe huru na best zake waagze wanachotaka. Kama unavojua manzi wa chuo kizazi wakaagza cocktail mara jameson, wakaagza chakula nk. Bila kusahau snap zilihusika sana me nawacheki tu wanavyo tapatapa.
Bili kuja ikasoma kama 350k nikamwambia manzi kwa kumzingua nataka tuondoke wote akasema wapi? Nikamwambia tukalale hotelini akanambia you can’t have me for free..[emoji119]. Nikamwambia bill yote hii bado unilipishe?. Sio unanitunuku? ofcoz sikua na nyege nae wala nini, nikamwuliza unataka sh. Ngap? Jibu lake likafanya pombe zote zitoke kichwani[emoji23][emoji23].
Dada bila aibu akasema anataka 200,000 taslimu, nikamwambia acha ungeseleee kumkaziaa kidogo akasema 100k top.
Yule dada nilikua namwonaga mstaarabu sana kumbe ni muuza mbususuu aisee kweli kazi iendeleee, mwanaume kama huna pesa kula manzi ni ngumu sana kwa zama hizi.
Hakuna haja ya kuanza unajua nyumbani kuna mpapai mrefu wala unajua nyumbani kuna ng'ombe wa mayai [emoji38][emoji38][emoji38] Str8 nenda, kwenye mada!Sahvi ni mwendo wa dau tu, unakula mzigo mambo ya kutongazana yamepitwa na wakt [emoji23][emoji23]. Ila wife materials wanapotea taratibu
Mimi sitoi pesa kwa manzi, nakula buree tu
Yaan bill yote hii ulilipa na wakat hyo hela unakula mbususu kama 7 hv na chenchi inabaki...ukiwa na 50k unalamba mbususu high classic kabsaBili kuja ikasoma kama 350k