TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Bado tupo awamu ya tano kumbe😂😂😂Kishindi Cha Awamu ya Tano, Tanzania Mpya
tbc wale achana nao tu ndugu yangu. Wana matatizo yao binafsi
sijawaonea si nasema ukweli jamani,zamani Zanzibar ili usikie habari za Zanzbar mpaka kiongozi afariki lakini kwa sasa hata Mwinyi akifanya teuzi lazima waripoti.Inaonekana huwa uangalii TBC1 Tangu mwaka jana walipoanzisha kipindi Cha Aridhio wana sehemu ya Zanzibar.
Usiwaonee.
wap?Kweni wanasemaje huko?
Mlilalamika sana kuhusu mwendazake sasa naona munashuhudia wenyewe hulka ya mwanadamu, yakhe kazi iendeleee etiHabari wadau..!
Hii inaitwa kutesa kwa zamu,upepo sasa umechange mambo yote bomba.
Kiufupi TBC walikuwa hawaripoti sana habari za Zanzibar lakini kwa sasa mambo fifty fifty habari za Zanzibar zinapewa nazo airtime tofauti na zamani,zamani Chato ndio ilikuwa haikauki masikioni .
Bado ile Channel ya Wanyama pori bado inaonyesha Burigi tuHabari wadau..!
Hii inaitwa kutesa kwa zamu,upepo sasa umechange mambo yote bomba.
Kiufupi TBC walikuwa hawaripoti sana habari za Zanzibar lakini kwa sasa mambo fifty fifty habari za Zanzibar zinapewa nazo airtime tofauti na zamani,zamani Chato ndio ilikuwa haikauki masikioni .
Kwani ana mke?TII bii sii ni maumbwa koko kabisa sijawahi kuwaangalia hao walamba makalio yaani kiufupi hakuna cha maana wanachoweza yani, yule mlevi wa Gongo Ayubu tangu aingie hapo pameharibikaaaaaaaaaaaa, kazi yake kutolea macho videmu tu kuna kimoja kile kichaga cheupe sijui elizabeti nani kanamwendesha kweli kweli jamaa anarukwa roho anaweza hata akaenda msimulia mkewe, they are simply CRAP!
Mbona hujiuluzi siku hiz zbc nayo inaongea mambo mengi ya bara mbaka habari nyingi za bara, na kingine jumapili ibada zbc za kikristo wanarusha nyingi mbaka nilistuka hawakuwa hivyo, na nikuambie tu tbc zenji habari zilikuwa zinarushwa kama kawaida ulikuwa hufatilii ila habari kubwa ni zenji kurusha mambo mengi ya bara ndio nashangaasijawaonea si nasema ukweli jamani,zamani Zanzibar ili usikie habari za Zanzbar mpaka kiongozi afariki lakini kwa sasa hata Mwinyi akifanya teuzi lazima waripoti.