Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Sasa Tanzania tunaweza nini ikiwa kila kitu tunashindwa. Tuwape na jeshi Waarabu wa DP World
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kama iko planned nakusudically kabisa, uyo mwana iko kijoti anachostua si cha bahati mbaya.
Mpaka nikufinye 😀😀kazi yangu unaielewa sina kazi mbovu hao siwajui mimi
Tufinyane tuMpaka nikufinye 😀😀
Nakuweka mahabusu 😒Tufinyane tu
Mmh,cjawahi ona mbinu ya kuwa na gwaride halina dressing kama hilo tena mbele ya amiri jeshi mkuu na wageni wa kimataifa.mbinu muhimu sana katika sayansi ya kijeshi ya kuwavuta na kuwapteza wajuaji kama hivi yaani 🐒
hii protocol inaitwa poteza maboya yakuone zombie yajisogeze uyaputue vizuri na hapo ni kwenye medani ya maonyesho, kwenye medani ya kivita ni tamu zaid
Dhofuri hali hao wamechoka hapo hatari yaan mpeleke mpeleke tu show iishe tukalale hawa ndio wakiwekwa mstari wa mbele wanakufa vibudu haraka sana hata kukimbia mtihani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🐒siku zingine utakuja kumkalia mwanajeshi ukadhani gogo kisha ukalipuka halafu sijui utasema hujawahi kuona mbinu kali kama hii 🤣Mmh,cjawahi ona mbinu ya kuwa na gwaride halina dressing kama hilo tena mbele ya amiri jeshi mkuu na wageni wa kimataifa.
Acha mkwara🐒siku zingine utakuja kumkalia mwanajeshi ukadhani gogo kisha ukalipuka halafu sijui utasema hujawahi kuona mbinu kali kama hia 🤣
protocol za kijeshi zione na ziskie ivo ivo tu na uwaachie wennyewe
wala sio mkwara that's fact,Acha mkwara
Hacha umbumbumbu basi,ile ni show ya kijeshi na lengo kuu tukiacha kuonyesha heshima kwa amiri jeshi mkuu pia kuonyesha ukakamavu na nidham iliyopo kwenye jeshi la wananchi.Sasa makosa ya wazi kama yale bado unayatafutia sababu ya kisiasa.🐒siku zingine utakuja kumkalia mwanajeshi ukadhani gogo kisha ukalipuka halafu sijui utasema hujawahi kuona mbinu kali kama hii 🤣
protocol za kijeshi zione na ziskie ivo ivo tu na uwaachie wennyewe
wewe ndie ulioelewa hivyo,Hacha umbumbumbu basi,ile ni show ya kijeshi na lengo kuu tukiacha kuonyesha heshima kwa amiri jeshi mkuu pia kuonyesha ukakamavu na nidham iliyopo kwenye jeshi la wananchi.Sasa makosa ya wazi kama yale bado unayatafutia sababu ya kisiasa.
Hawakuelewi kwa kuwa hawaelewi. Nadharia ya kijeshi ya kuficha uhalisia wako.wewe ndie ulioelewa hivyo,
but ni protocol ya kijeshi pia kumuhadaa adui kwamba mie ni dhaifu sina utaratibu, sijajipanga na unaeeza nichapa utakavyo kama ambavyo unaniona nakosea hadi step kwahiyo usije na misilaha mizito mizito ñjoo kawaida tyuuu [emoji205]
ni mbinu pia Tz kuwa rated kwenye kiwango cha chini sana cha umahiri na hivyo kutokupewa kipaumbele kupeleka walinzi wa amani somewhere.....
Unaweza kusema ni mgomo wa kisayansi mbele ya sura ya kimataifa kwenda kulinda amani somewhere [emoji205]
bas wew unafurahiiiiii eti wamekosea [emoji1787]