Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Wana jamvi uzima na afya uwe kwenu nyote.
Hapa siongei na wavulana na vijana wa hovyo. Bali naongea na vijana na watu wazima wenye kujitambua haswa.
Ni ukweli pasina shaka kuwa maisha ya ujana yanapita upesi sana. Kama usipojiwekea malengo ya huko mbeleni utaishi maisha ya tabu sana.
Wala sio Siri wengi wa wazee tunao waona leo hii wanaishi maisha Duni, taabu na mateso walipitia nyakati kama zetu za utoto,ujana na utu uzima Hadi uzee.
Wengi wao wanaishi Kwa sonona na stress ya Hali juu mno ni vigumu kuwatofautisha na chizi.
Hivyo ukiona vile ni Vyema na haki nawewe ukajipanga Kwa ajiri ya kesho Yako.
Ningependa katika Uzi huu tupeane mbinu za kuwekeza Ili badae tuje tuishi maisha mazuri tukicheza na kuimbia wajukuu zetu kama baadhi ya wazee wanavyoishi Leo hii.
Ni furaha iliyo je uzeeke ukiwa na uhakika wa maisha mazuri na afya njema kabisa.
Hapa siongei na wavulana na vijana wa hovyo. Bali naongea na vijana na watu wazima wenye kujitambua haswa.
Ni ukweli pasina shaka kuwa maisha ya ujana yanapita upesi sana. Kama usipojiwekea malengo ya huko mbeleni utaishi maisha ya tabu sana.
Wala sio Siri wengi wa wazee tunao waona leo hii wanaishi maisha Duni, taabu na mateso walipitia nyakati kama zetu za utoto,ujana na utu uzima Hadi uzee.
Wengi wao wanaishi Kwa sonona na stress ya Hali juu mno ni vigumu kuwatofautisha na chizi.
Hivyo ukiona vile ni Vyema na haki nawewe ukajipanga Kwa ajiri ya kesho Yako.
Ningependa katika Uzi huu tupeane mbinu za kuwekeza Ili badae tuje tuishi maisha mazuri tukicheza na kuimbia wajukuu zetu kama baadhi ya wazee wanavyoishi Leo hii.
Ni furaha iliyo je uzeeke ukiwa na uhakika wa maisha mazuri na afya njema kabisa.