ila kujiandaa uzeeni ni muhimu hii itawapa afadhari watoto wako na watu wengine wa karibu,kuwa mzee haina maana uje uwe tegemezi kwenye kila kitu watoto wako watakuwa na majukumu yao kulea familia zao,nakuwafanya watoto wao wafikie ndoto zao.
si utamaduni sana kwa familia zetu zakiafrika kusingatia hichi kitu ila ni wajibu wa mzazi kuhakikisha mtoto anakuwa salama toka siku umemzaa mpk siku unaaga dunia mtoto wako anatakiwa awe proud kuwa alikuwa na mzazi ambae hakuwa tu na fikra za kufikiri kila mtoto ni wajibu kumsaidia mzazi!,na kama wazee walikuwa masikini hivyo ni jukumu la watoto kuja kukutoa kwenye hilo dimbwi..
inatakiwa tupambane watoto waje wale raha,wakue vyema,waone maisha ktk namna tofauti nao wakawajibike kwa watoto wao.