Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 515
- 1,015
Wasalamu wana JF...
Natumai ni wazima na mnaendelea kuchukua tahadhari juu ya virusi hivi vya corona vinavyoitesa dunia kwa sasa.
Je ushawahi kaa ukawaza anguko kubwa la uchumi linalokuja baada ya corona!!?
Hii Corona ni kama upepo tu lakini huu mwaka hatuwezi kukwepa GREAT RECESSION. Kirusi kina athari ndogo sana kulinganisha na economics crisis inayofuata baada ya Corona. Soko la hisa la US mpaka sasa limeanguka kwa 24% in less than 2 months. Makampuni yamefunga, wafanyakazi wapo nyumbani, watu wanapunguzwa ajira, hakuna economic activities
Dunia ni kama imesimama, hakuna mzunguko wa pesa, unemployment rate imeongezeka maradufu, Hakuna uwekezaji, hakuna uzalishaji, hakuna consumer spending. Dunia nzima inaosha mikono tu, uchumi umelala. Kama Corona ikigonga na hali ikawa hivi mpaka June, basi tutashuhudia one of the worst ECONOMIC CRISIS in human history.
Natumai ni wazima na mnaendelea kuchukua tahadhari juu ya virusi hivi vya corona vinavyoitesa dunia kwa sasa.
Je ushawahi kaa ukawaza anguko kubwa la uchumi linalokuja baada ya corona!!?
Hii Corona ni kama upepo tu lakini huu mwaka hatuwezi kukwepa GREAT RECESSION. Kirusi kina athari ndogo sana kulinganisha na economics crisis inayofuata baada ya Corona. Soko la hisa la US mpaka sasa limeanguka kwa 24% in less than 2 months. Makampuni yamefunga, wafanyakazi wapo nyumbani, watu wanapunguzwa ajira, hakuna economic activities
Dunia ni kama imesimama, hakuna mzunguko wa pesa, unemployment rate imeongezeka maradufu, Hakuna uwekezaji, hakuna uzalishaji, hakuna consumer spending. Dunia nzima inaosha mikono tu, uchumi umelala. Kama Corona ikigonga na hali ikawa hivi mpaka June, basi tutashuhudia one of the worst ECONOMIC CRISIS in human history.