Umejiandaaje na ugumu wa January?

Kwenye kikao Cha mwisho wa mwaka Cha wanaume .
Mwenyekiti amelalamika Sana kuwa Kuna wanaume wanashusha heshima yetu kwa nguvu na sio muda tukiwakamata tutawafukuza kwenye chama chetu watajua wanaenda wapi .
Hapa nimegundua wewe inabidi uwe mmoja wa wataotimuliwa ,wacha nitume jina kwa chair ,huwezi kwepa majukumu alafu kujisifia hapa
 
Unasubiri nini kulipeleka hilo jina? Nani kakwambia najisifia?
 
We ni menemene au nawe ni mwingine tena, mmecharuka.......

Ni nani huyo? Sijaona possible yupo kwenye ignore list
Ahsante Mungu ๐Ÿ™๐Ÿ™
Kumbe Evelyn Salt unanipenda na unajua hapa jamvini Mimi ndiye mtu wako .
Ahsante ubarikiwe ,Mimi nina I'd moja nayo ni hii sio ya huyo anayekufosi kuchepuka sijui mwende muikiki
 
We ni menemene au nawe ni mwingine tena, mmecharuka.......

Ni nani huyo? Sijaona possible yupo kwenye ignore list
 
Ahsante Mungu ๐Ÿ™๐Ÿ™
Kumbe Evelyn Salt unanipenda na unajua hapa jamvini Mimi ndiye mtu wako .
Ahsante ubarikiwe ,Mimi nina I'd moja nayo ni hii sio ya huyo anayekufosi kuchepuka sijui mwende muikiki
Eeeh mapenzi yamekuja na christmass haya...

Basi ntumie hela nikasuke
 
Utoto raha sanaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ