Umejiandaaje na ugumu wa January?

Umejiandaaje na ugumu wa January?

Mganga wangu hii wiki haiishi, atafurahi 😹 ngoja nimuombe acc namba
😀😄🤣
Toa sadaka ya kujimaliza kwangu
Nimekupambania kwenye ulimwengu wa roho Sasa nyota yako inang'ara
 
January au Njaanwary haipo mbali, Leo ni ijumaa ya mwisho wa mwaka 2024

We safiri, chezea pesa, kesha bar ila mgeni katili anakuja soon

1. Ada ya shule ni January
2.Kodi za frem January
3. Kodi ya TRA January
4. Mchepuko upo Moshi unahitaji nauli kurudi town
5. Bidhaa zinapanda bei January

Ongezea........
Same old song, mambo yanakuwa magumu but on february milngo unalainika
 
Nmeandaa fungu,
Kwa wale waliofulia ili ninunue bidhaa zao Kwa Bei rahisi
 
Mimi sitegemei ugumu endapo Afya ikiwepo.

Maana hela nilizosave zinanitosha kutumia miaka 3-5 Kama sijaumwa wala kupata tatizo lolote kubwa .

Apa nazungumzia
Kula
Bills
Ada
N.k

Kuhusu mambo mengine nipo na BIMA pia
 
Mimi sitegemei ugumu endapo Afya ikiwepo.

Maana hela nilizosave zinanitosha kutumia miaka 3-5 Kama sijaumwa wala kupata tatizo lolote kubwa .

Apa nazungumzia
Kula
Bills
Ada
N.k

Kuhusu mambo mengine nipo na BIMA pia
Uko vyema kamanda
 
Back
Top Bottom