Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Ukikataa ndoa hatari yake ni kuisajili no 7.....!!!Nimejfunza tusioe
KATAA NDOA
nimejifunza wanawake kwenye ndoa hawana wanachotafuta zaidi ya kugawana mali tu... sasa huyu dada anasemekana ni tajiri mkubwa kwa nini atakae kugawana mali ?Pole sana Wanawake mnaosubiri mtalakiane na Mme wako afu mdai talaka mwisho mgawane mali.
NIMEPENDA HII YA KIJANA (HAKIMI) kama ujaipata ifuatilie......
View attachment 2588823ume
HahahahahahKabadili kibao huko, yeye naye ameenda mahakamani kudai apewe nusu ya mali za mkewe.
Hakika sema tunabidi twende la utaratibu wa #hakiminimejifunza wanawake kwenye ndoa hawana wanachotafuta zaidi ya kugawana mali tu... sasa huyu dada anasemekana ni tajiri mkubwa kwa nini atakae kugawana mali ?
π€£π€£π€£
Hata kitanda ni maliππ
NA SIYO KILA MAMA UKIFANYA KAMA ALIVYOFANYA HAKIM,KWA KUMPA PESA NA MALI ZAKE ZOTE AWE NAZO YEYE ,ETI UTATUSUAPole sana Wanawake mnaosubiri mtalakiane na Mme wako afu mdai talaka mwisho mgawane mali.
NIMEPENDA HII YA KIJANA (HAKIMI) kama ujaipata ifuatilie......
View attachment 2588823ume
Hakika. Kila mbuzi ula kwa urefu wa kamba ake