Umejifunza nini Mgogoro wa Jackline Ntulyabaliwe vs Familia ya Reginald Mengi?

Umejifunza nini Mgogoro wa Jackline Ntulyabaliwe vs Familia ya Reginald Mengi?

Jack mjinga na selfish.

Kama alifuata mali hakupaswa kutaka mali zote pekee yake ili hali mtu ana familia nyingine angeweza kutafuta ka mradi km billion 5 tu aombe kawe kake mali nyingine Zote awaachie familia yake.

Kwa ujinga wake akadhani anaweza kumlaghai nyani mzee aliyekwepa mishale mingi..Hivi ingekuwa rahisi kumdhulumu Mengi ,Mengi angekuwa tajiri vile??yule mtoto wa mjini?Wana networks nyingi na wanajua michezo michafu mixer kulindwa na chawa kama wote.

Tajiri km mengi anakitengo kabisa cha usalama wa mali zake sio mtu ambaye unaweza kumpa uchi leo hlf kesho ukakwapua mali zake zote..Hivi utajiri wa level ya mengi ni wakuibiwa kijinga jinga

Yule jack akakwapua chake mapema kabishara km billion kadhaa na nyumba moja basiiii angeishibmjini vzr bila kuwekeana uhasama na mtu.
 
Kosa kubwa Sana wanawake wanafanya wanapoingia na mwanaume kwny mahusiano hasa ya kindoa Ni kuwachukia UKWENI.

Ukijenga chuki ukweni jua baadae itakuja kukucost wewe.

Mwanamke anapaswa kwa namna Moja ama nyingine,
Apambane awe na mahusiano mazur na Ndugu upande wa mme au wakwe.

Asijifungie peke ake kwa kivuli cha mahaba mazito na mumewe.
 
Uzi unatufundisha pia vijana tupambane tutafute pesa sana.

Wajuvi watakuja kulifafanua zaidi.
 
Funzo ni kwamba tajiri kuoa tena kibinti kidogo ni kujichimbia kaburi.
 
Pia nimejifunza binti asipojitosheleza kimahitaji ataolewa tu kisa hela.yaani ni Kama atajiuza tu.
Mie Nina baba mkubwa yupo kijijini sijui Kama angemtokea huyu dada angemkubalia jamani Kama kweli hajampendea hela.
Uzuri bila pesa utaumia ama bila ya akili
 
Pia nimejifunza binti asipojitosheleza kimahitaji ataolewa tu kisa hela.yaani ni Kama atajiuza tu.
Mie Nina baba mkubwa yupo kijijini sijui Kama angemtokea huyu dada angemkubalia jamani Kama kweli hajampendea hela.
Uzuri bila pesa utaumia ama bila ya akili
Hawajambo huko Nyamwaga
 
Hawajambo huko Nyamwaga
Mie sio wa huko kwani hupajui hapo penye id yangu bana.
Nyamwaga Kuna mabinti wanajilengesha Sana kwa wale maaskari.yaani wanaijua hela na nyamongo.ukioa huko ukiacha 50k unaulizwa ni Nini ichi Sasa. Ila huko keisangora ukiacha liten unaulizwa yote hii ni ya Nini mme wangu.
Nyamongo imekuwa Kama machame kabisa.hela ya dhahabu imeharibu kabisa wtt.
So mie sio wa huko bana
 
Mie sio wa huko kwani hupajui hapo penye id yangu bana.
Nyamwaga Kuna mabinti wanajilengesha Sana kwa wale maaskari.yaani wanaijua hela na nyamongo.ukioa huko ukiacha 50k unaulizwa ni Nini ichi Sasa. Ila huko keisangora ukiacha liten unaulizwa yote hii ni ya Nini mme wangu.
Nyamongo imekuwa Kama machame kabisa.hela ya dhahabu imeharibu kabisa wtt.
So mie sio wa huko bana
Hahahaa, hatari sana aise.
 
Back
Top Bottom