Binafsi nilijiungaa nikiwa kidato cha tatu mwaka 2013,niliifahamu kupitia youtube kwa sababu youtube ndio ilikua sehemu yangu ya kupatia maarifa,kujua habari zamichezo na siasa za nchini mwangu,afrika mashariki, africa na duniani kiujumlaa.....
Lakini nilipofika form five nilikaa shule miezi sita nikasahau password ilinilazimu kubadili kila kitu ili niendelee kuona mawazo mbalimbali humu jf baada ya miezi sita tena nikawa nimeingia form six,nilivyofika form six nilikaa mwaka mzimaa bila jf !wala kurudi nyumbanii hivyo sikuitumia lakini password nilidhihifadhi na mpaka sasa imenisaidia kujua mambo mengi kisiasa kiuchumi kiutamaduni na kijamiii ...
JE wewe umeijulia wapi? jamii forums,lini? Kwa nani?,na kipi hutosahau jf?na una muda gani nayo? kama hutojali imekusaidia vipi katika maisha yako ya kila siku katika nyanja zote za maisha yetu.
Am a member for 5yrs !niko univesity bd nafurahia jamii forums??.........@#[emoji1]
Lakini nilipofika form five nilikaa shule miezi sita nikasahau password ilinilazimu kubadili kila kitu ili niendelee kuona mawazo mbalimbali humu jf baada ya miezi sita tena nikawa nimeingia form six,nilivyofika form six nilikaa mwaka mzimaa bila jf !wala kurudi nyumbanii hivyo sikuitumia lakini password nilidhihifadhi na mpaka sasa imenisaidia kujua mambo mengi kisiasa kiuchumi kiutamaduni na kijamiii ...
JE wewe umeijulia wapi? jamii forums,lini? Kwa nani?,na kipi hutosahau jf?na una muda gani nayo? kama hutojali imekusaidia vipi katika maisha yako ya kila siku katika nyanja zote za maisha yetu.
Am a member for 5yrs !niko univesity bd nafurahia jamii forums??.........@#[emoji1]