RIGHT MARKER
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 129
- 473
📖Mhadhara (60)✍️
Kama unahonga wewe honga lakini usidhani kwamba unapendwa sana kuliko wenzako. Usifikiri kuwa wewe uliyehonga Jiko la Gesi ni mjanja sana kuliko aliyehonga Kitanda. Au wewe uliyehonga simu ni mjanja sana kuliko anayehonga salio.
1. Kisa umemnunulia mwanamke Feni la Tshs 50,000 ndo unapata ujasiri wa kwenda kulala nyumbani kwake, tena unalala na boksa tu.
SWALI: Je, unamjua aliyenunua zile sofa?
2. Kisa umemnunulia mwanamke Gunia la mkaa la Tshs 70,000 ndo unapata ujasiri wa kwenda kulala nyumbani kwake usiku kucha.
SWALI: Je, unamjua aliyenunua lile Jiko kubwa la Gesi?
3. Kisa umemnunulia mwanamke TV ya Tshs 270,000 & King'amuzi cha Tshs 79,000 ndo unapata ujasiri wa kwenda kulala nyumbani kwake, tena umebeba na mswaki wako.
SWALI: Je, unamjua aliyenunua kile Kitanda cha milioni mbili?
4. Kisa umemnunulia mwanamke Kapeti (zulia) la Tshs 100,000 ndo unapata ujasiri wa kwenda kulala nyumbani kwake, tena umetundika taulo lako mlangoni.
SWALI: Je, unamjua aliyenunua lile Kabati la nguo?
✍️Mwanaume mjanja halali kwa mwanamke hata kama anamhonga vitu vya ndani. Lakini mwanaume mpumbavu ndiye anadhani yeye pekee anapendwa. Anakwenda kulala kwa mwanamke, mwishowe anafumaniwa ndani anakatwa mapanga.
Right Marker
Dar es salaam
Kama unahonga wewe honga lakini usidhani kwamba unapendwa sana kuliko wenzako. Usifikiri kuwa wewe uliyehonga Jiko la Gesi ni mjanja sana kuliko aliyehonga Kitanda. Au wewe uliyehonga simu ni mjanja sana kuliko anayehonga salio.
1. Kisa umemnunulia mwanamke Feni la Tshs 50,000 ndo unapata ujasiri wa kwenda kulala nyumbani kwake, tena unalala na boksa tu.
SWALI: Je, unamjua aliyenunua zile sofa?
2. Kisa umemnunulia mwanamke Gunia la mkaa la Tshs 70,000 ndo unapata ujasiri wa kwenda kulala nyumbani kwake usiku kucha.
SWALI: Je, unamjua aliyenunua lile Jiko kubwa la Gesi?
3. Kisa umemnunulia mwanamke TV ya Tshs 270,000 & King'amuzi cha Tshs 79,000 ndo unapata ujasiri wa kwenda kulala nyumbani kwake, tena umebeba na mswaki wako.
SWALI: Je, unamjua aliyenunua kile Kitanda cha milioni mbili?
4. Kisa umemnunulia mwanamke Kapeti (zulia) la Tshs 100,000 ndo unapata ujasiri wa kwenda kulala nyumbani kwake, tena umetundika taulo lako mlangoni.
SWALI: Je, unamjua aliyenunua lile Kabati la nguo?
✍️Mwanaume mjanja halali kwa mwanamke hata kama anamhonga vitu vya ndani. Lakini mwanaume mpumbavu ndiye anadhani yeye pekee anapendwa. Anakwenda kulala kwa mwanamke, mwishowe anafumaniwa ndani anakatwa mapanga.
Right Marker
Dar es salaam