Umekula tunda gani leo?

Kokomanga, au pomegranate. Ni tunda linastahimili sana ukame. Israel inasemekana ni wazalishaji wazuri wa tunda hili lenye faida lukuki
Duh thanks [emoji1545] kumbe ndio komamanga hili
 
sehemu nyingine, walipoasi, Mungu alitumia miti hii hii ya matunda kama mfano kuonyesha, alivyowafunguia milango ya Baraka na mafanikio katika mambo yao maovu, soma.

Hagai 1:18 “Tafakarini, nawaomba; tangu siku hii ya leo na siku zijazo; tangu siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kenda, naam, tangu siku hiyo ulipowekwa msingi wa hekalu la Bwana tafakarini haya.

19 Je! Mbegu ingali ghalani? Naam, huo mzabibu, wala mtini, wala mkomamanga, wala mzeituni, haikuzaa kitu; tangu siku hii ya leo nitawabariki”.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…