Umekula tunda gani leo?

Hapana my dear ukishalimenya na kulikatakata nanasi lako vile vipande vitie kwenye chombo chenye maji kiasi na chumvi kiasi ...acha kwa dakika kadhaa kisha anza kula , ukichukua toka chomboni..the flavor is amazing
Ok so meno hayatauma kabisa?! Napenda nanasi ila tatizo meno ntajaribu hii njia, ila sasa ile the real taste haitokua diluted na hayo maji+chumvi? Just thinking 🤔
 
Ndizi mbivu mbili .
Ni desturi... Naamka saa kumi na moja...
nakula ndizi mbivu mbili...Nafanya mazoezi...
30minutes.. naoga
Nameditate 30mins
Nasoma 1hr.
Napata breakfast.
[emoji1548][emoji1548][emoji1548]
 
Tunda gani tena jamani, si tulisema tunda la kuliwa kimasihara ndo tamu!!
 
Asante mkuu kwa kutuhamasisha,, ila chakuongezea hapo tunda linaliwa kabla ya kupiga menu kubwa. Maana ukila baada ya msosi kuna enzymes zinakuwa zimeshaachiwa ambazo kuzuia uyeyushaji wa vitamin C. Kwa hiyo unaweza kukosa hiyo vitamin ya muhimu kabisa inayopatikana kwenye matunda. Kwa hiyo basi tupige tunda angalau nusu saa kabla ya kupiga menu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…