Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Wananunaga halafu wanataka kukuroga🤣😂🤣😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1548][emoji1548][emoji1545]watanuna Buji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananunaga halafu wanataka kukuroga🤣😂🤣😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1548][emoji1548][emoji1545]watanuna Buji
Ok so meno hayatauma kabisa?! Napenda nanasi ila tatizo meno ntajaribu hii njia, ila sasa ile the real taste haitokua diluted na hayo maji+chumvi? Just thinking 🤔Hapana my dear ukishalimenya na kulikatakata nanasi lako vile vipande vitie kwenye chombo chenye maji kiasi na chumvi kiasi ...acha kwa dakika kadhaa kisha anza kula , ukichukua toka chomboni..the flavor is amazing
Saa 11 Na kula ndizi mkuu? Si utumbo utashtuka sana huko ndani mkuu?Ndizi mbivu mbili .
Ni desturi... Naamka saa kumi na moja...
nakula ndizi mbivu mbili...Nafanya mazoezi...
30minutes.. naoga
Nameditate 30mins
Nasoma 1hr.
Napata breakfast.
Sawa na ahsante ntajaribu ila ikizingua nakufata huko kilingeni kwako dr wewe😀😀Just try utaniambia..na utatibu hata tatizo la ganzi
Duh ok👏Inasaidia mno digestion iliyochelewa
Ndizi Ni kwa ajili ya kupata energy ya kufanya mazoezi.Saa 11 Na kula ndizi mkuu? Si utumbo utashtuka sana huko ndani mkuu?
Ooh haya mkuu! Naichukua hii pia. Ntakua nafanya hiviNdizi Ni kwa ajili ya kupata energy ya kufanya mazoezi.
Alafu Kila mfanya mazoezi nahisi analifahamu hili.
Na ntakufulusha kweli nta mwagamwaga vibuyu vyako vyote, katakata hirizi yaani tafrani tupu😀😀[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Mungu nisaidie
Nyanya chungu inaongeza water kule kwenye papuchi yani kitumbua kinakua Cha mafuta mafuta chapu kwa haraka pale ukitaka kufanya tendoAhsante Eli ntazingatia hayo ila umesema bamia na nyanya chungu ni kwa afya ya nini?.. sipendi mabamia! Ila nyanya chungu poa [emoji848]
Asante mkuu kwa kutuhamasisha,, ila chakuongezea hapo tunda linaliwa kabla ya kupiga menu kubwa. Maana ukila baada ya msosi kuna enzymes zinakuwa zimeshaachiwa ambazo kuzuia uyeyushaji wa vitamin C. Kwa hiyo unaweza kukosa hiyo vitamin ya muhimu kabisa inayopatikana kwenye matunda. Kwa hiyo basi tupige tunda angalau nusu saa kabla ya kupiga menu!Kwa hakika kama kuna mtu kati yetu asubuhi ya leo kala tunda lolote lile basi ni wale waliolala zile hotel zenye bed n breakfast full course. Wengine wetu kwa uchache mno ni wale wafanya diet na kwa uchache zaidi wale wanaotambua umuhimu wa matunda mwilini kiafya. Wengi wetu humaliza mpaka wiki bila kula hata kipande kimoja cha tunda lolote.
Wengi huwa hawali matunda mpaka waandikiwe na daktari kama sehemu ya tiba. Kwao kula tunda ni sehemu ya anasa na kupoteza pesa..
Matunda yana faida kubwa mwilini kiafya kuliko hata nyama. Matunda ni sehemu muhimu ya tiba. Matunda yana uwezo wa kukujenga kiafya na kukukinga na maradhi mengi. Ni afadhali mara mia ukala matunda ya buku kuliko kula mchemsho wa buku 2, Matunda ni tiba ya magonjwa mbalimbali.
Matunda ni sehemu muhimu ya tiba mbadala na ujenzi wa mwili imara na wenye nguvu.
Baadhi yetu hupendelea shurubati zaidi kuliko matunda yenyewe. Ni sawa pia lakini shurubati isiyo halisi inakuwa imechanganywa na vionjo vingine hivyo kupunguza kwa kiasi fulani nguvu ya kutenda.
Huu ni ushauri wangu kwako pamoja na kunywa maji mengi na kupangilia milo yako lakini usisahau kitu hiki muhimu sana TUNDA. Jitahidi kupata kipande cha tunda kwenye kila mlo wako.. kuna siku utanikumbuka na kunishukuru kimoyomoyo
Je, umekula tunda gani leo?
Duh haya basi ntazidisha dose ya nyanya chungu mkuu! Eti chap kwa haraka😀😀Nyanya chungu inaongeza water kule kwenye papuchi yani kitumbua kinakua Cha mafuta mafuta chapu kwa haraka pale ukitaka kufanya tendo
Hadi wewe unamwombaga Mungu kumbe😀😀Mungu nisimamie[emoji2827][emoji2827][emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]