ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,891
- 13,750
Anhaa yaelekea ni matamuSijui yanaitwaje Kiswahili ila yanapatikana Tanga kwa wingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa yaelekea ni matamuSijui yanaitwaje Kiswahili ila yanapatikana Tanga kwa wingi
[emoji28][emoji28]hamna buanaa ni maneno tuUkiyala kwa wingi haya muda wa pooo utapenda mwenyewe na roho yako hasa kwa wale wasiopenda kunywa maji kwa wingi.
[emoji3][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545] connection ya mochwari ni vigezo.. Unavyo?Hapo sawa hongera sana. Usiiache hiyo neema iliyoshuka kwako.
Nipe koneksheni ya mochwal mkuu nataka kutoa huduma kwa watu watulivu .
Yana kaugwadu fulani hivi na ndani mbegu zake ziko mbili au moja kubwaAnhaa yaelekea ni matamu
Sana mkuu hapo uweke na katangawizi huhuu..Juice ya Mapera huwa ni tamu haswa [emoji39][emoji39][emoji39]
Kama vipi mkuu ? Nipe dondoo[emoji3][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545] connection ya mochwari ni vigezo.. Unavyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh[emoji120]kwa ufafanuziYana kaugwadu fulani hivi na ndani mbegu zake ziko mbili au moja kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Elimu ya form four kwenda juu nakazalikaKama vipi mkuu ? Nipe dondoo
Ninayo hiyo mkuu
Nitashukuru sana
Linapatikana wapi, silijui hili tunda.Credit kwake Angel Nylon View attachment 1840733
Dar halipo? Ni ka stafel au. Ni tamu ee? Nije nlitafute.Zenji iyo