Umekutana na mdada kwenye daladala ukavutiwanaye tumia mbinu hii

Umekutana na mdada kwenye daladala ukavutiwanaye tumia mbinu hii

Me: hey
She: .......

Me: samahani kwa kukusumbua ilhali nafahamu kabisa unakimbizana na pilika za hapa na pale, kwa jinsi mazingira yalivyokuwa kwenye gari nilifikili kuwa isingekuwa busara kukufikia hivyo....................

Umekutana na mdada kwenye daradara amekuvutia ukaamua kumtongoza .. Unaweza malizia hapo.. Twende kazi.

Uwandishi wako tu wa kutokujua kutofautisha R na L tayari huyo demu ushaniona pole
 
Sio lazima uwe muongeaji sana ndiyo mpate mwanamke au ndiyo uwe hodari kutongoza.. Wanawake wanapenda vitu vingi sana kuliko hata unachotaka kuongea hebu jaribu kumtoa lunch/dinner, hebu jaribu kuwa mcheshi kwake, hebu jaribu kumsaidia pale anapokua na shida, jaribu kumlinda pale anapojiona mdhaifu ukiyaweza haya utakua ndoto za mwanamke yoyote...


Epukeni maneno zaidi ya vitendo
Pitia kwa Mangi pata 1 baridi nakuja kulipa.
 
Back
Top Bottom