Umem-miss nani?

Umem-miss nani?

Beauty Eva

Senior Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
131
Reaction score
374
Ni rafiki uako yupi hujui alieda wapi na huwa unam-miss sana na unatamani itokee siku mkutane tena?

Mtaje labda na yeye yupo humu na atakusikia[emoji7]

Mimi naanza na Fatma Ahmed Tamim, nilisoma nae Jamhuri High School Dodoma na alikuwa anaishi Area C
 
Ah hapana siyo binadam! nimemis cannabis cjapiga since morning.

I miss you cannabis and i love you so much! coz you give me joy in good times and u've never left me even in tough times.

We'll together tonight[emoji8]
 
Rosequeen na Janeth (nywele za kiarabu) Form 4 Biashara, 2017. Mwanza Secondary School

Janeth, Dah! Yaani hadi leo hii huwa najilaumu kwa nini sikuloweka libolo langu kwenye hicho kishimo chako. Itaniuma leo hadi kesho. Sijui nowdays uko wapi![emoji29]
 
Ni rafiki uako yupi hujui alieda wapi na huwa unam-miss sana na unatamani itokee siku mkutane tena?

Mtaje labda na yeye yupo humu na atakusikia[emoji7]

Mimi naanza na Fatma Ahmed Tamim, nilisoma nae Jamhuri High School Dodoma na alikuwa anaishi Area C
Baba angu 😢😢
 
Back
Top Bottom